Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KITOKOLOLO RAPA WA FM ACADEMIA AHAMIA BENDI YA MASHUJAA

1b Kitkololo akitangaza rasmi kujiunga na bendi ya Mashujaa leo kulia  ni Mkurugenzi wa Mawasiliano Bw. Maximillian Luhanga. 3b Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Bendi ya Mashujaa Bw. Maximillian Luhanga akizungumza katika mkutano huo wakati alipomtambulisha rapa Kitokololo kushoto kutoka bendi ya FM Academia kulia ni  King Dodoo mshauri wa bendi hiyo na katikati. ……………………………………………………………………. BENDI ya Mashujaa imemchukua rapa, Kalidjo Kitokololo ‘Kuku’ kutoka bendi ya  FM Academia na kusaini naye ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kitokololo atua Mashujaa Musica

RAPA wa Fm Academia, Kalidjo Kitokololo amejiunga rasmi na bendi ya Mashujaa kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kitokololo, ameamua kumwaga wino kuitumikia Mashujaa, ambako ataungana na marapa wenzake, Sauti ya...

 

11 years ago

Michuzi

Mashujaa bendi kufanya ziara mikoani

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa bendi ya muziki wa dansi ya Mashujaa Maximillian Luhanga (kulia) akizungumza na Waandishi wa Habari jana kuhusu ziara yao itakayofanyika katika mikoa yote baada ya mfungo wa Mwezi wa Ramadhan, kustoto ni rapa wa bendi hiyo Raja Ladha.
BENDI ya muziki wa dansi nchini Mashujaa, inatarajia kufanya ziara katika mikoa ya nchini nzima kwa ajili ya kutoa shukrani kwa mashabiki wao waliowapigia kura kwenye tuzo za Kilimanjaro Music Awards.
Akizungumza Dar es Salaam...

 

9 years ago

Michuzi

BENDI YA FM ACADEMIA YAWAPAGAWISHA WAKAZI WA MKOA WA ARUSHA NA VITONGOJI VYAKE

Mwanamuziki wa Dansi Patcho Mwamba Akiwa anaimba mbele ya washabiki wake waliouthuria onyesho la bendi hiyo lililofanyika ndani ya ukumbi wa Triple A uliopo ndani ya jiji la ArushaWanenguaji wa bendi ya Fm Academia wakifanya mambo ndani ya ukumbi wa Triple A uliopo ndani ya jiji la Arusha.Washabiki wa fm wakiwa waangalia show ya nguvu iliyokuwa inadondoshwa na bendi hiyo.Picha zote na Woinde shizza wa libeneke la kaskazini blog.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

11 years ago

Mwananchi

FM Academia; Bendi ya muziki wa dansi wa kizazi kipya iliyokaa kileleni miaka 16

>Kwa miaka 16 mfululizo zikitajwa bendi zinazoshika nafasi tatu juu, huwezi kukosa kuitaja bendi ya FM Academia, bendi iliyoitambulisha Tanzania kwa muziki wa dansi wa kizazi kipya.

 

10 years ago

Vijimambo

THE STARS BAND YAZINDULIWA RASMI SIKU YA EID MOSI NDANI YA MZALENDO PUB HUKU IKISINDIKIZWA NA BENDI YA FM ACADEMIA PAMOJA NA BARNABA

Bendi mpya ya muziki wa dansi ijulikanayo kama The Stars Band iliyo chini ya Aneth Kushaba imezinduliwa rasmi siku Jumamosi ya Julai 18, siku ya Idd-Mosi ndani ya kiota cha Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar es Salaam huku ikisindikizwa na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Barnabas pamoja na bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’.  

Mkurugenzi wa The Stars Band, Aneth Kushaba akijitambulisha kwa mashabiki wakenm  pamoja na azungumza na wapenzi wa bendi mpya ya The Stars Band wakati wa...

 

10 years ago

GPL

BENDI MPYA YA VIJANA WANNE, RUBY BENDI WATINGA GLOBAL TV ONLINE

Waimbaji wa Ruby Bendi wakiwa katika pozi baada ya kufanya mahojiano na Global TV Online kutoka kushoto ni Suma Luvi, Smaina, Kwea Pia na Maya. (PICHA: GLOBAL TV ONLINE)

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Uncle G Matukutuku Ft Kitokololo — Nchabwede

Video mpya kutoka kwa Uncle G akimshirikisha Kitokololo wimbo unaitwa “Nchabwede” video imeingozwa na Pizzo Mtena

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani