MMILIKI WA MANCHESTER UNITED AFARIKI DUNIA
BILIONEA Malcolm Glazer, aliyeshinda tenda ya utata ya kuichukua Manchester United mwaka 2005, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85. Mfanyabiashara huyo wa Marekani atakumbukwa kama bilionea wa Florida aliyeichukua kuimiliki binafsi United miaka tisa iliyopita na kuwekeza zaidi ya Pauni Milioni 500.
Glazer mkubwa amekuwa mgonjwa kwa muda sasa na kuwaachia shughuli za uendeshaji wa United watoto wake wa kiume, Joel na Avram.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pdiUswshTHC8kRIm0jgIhOvczw-pVtSN4-VFwJqWTrIFGvhUsx88Y2mBIXAOdXBWiuv9m6Y2Nd3IBIXQxwSgzhrj7fVKnidn/GLAZER.jpg)
MMILIKI WA MANCHESTER UNITED AFARIKI
Malcolm Glazer aliyefariki akiwa na miaka 85. MMILIKI wa timu ya Manchester United, Malcolm Glazer, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85. Amefariki akiwa nyumbani kwake Marekani. Glazer aliinunua klabu hiyo mwaka 2005 kwa pauni milioni 790 sawa na shilingi trioni 2.2 na akashuhudia timu hiyo ikipata mafanikio kadhaa ikiwemo kutwaa Kombe la Klabu Bingwa Ulaya na ya Ligi Kuu ya England.
...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TOzonwo3L5K*gx61rgjYqbwDmTB1ZuXpQfCfwGMZDEDvOEX0cSmX8syU1XGdRFIq7vXJi2RmQFslKpzi6qBipSu/MARTINFM.jpg)
MMILIKI WA FM ACADEMIA AFARIKI DUNIA
Martin Kasyanju enzi za uhai wake. Mmiliki wa Bendi ya FM Academia, Martin Kasyanju amefariki dunia jana. Msemaji wa Bendi ya FM Academia, Kelvin Mkinga amethibitisha kutokea kwa msiba huo na kusema kuwa Martin amefariki akiwa katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa siku chache. Kwa mujibu wa Kelvin ni kwamba marehemu alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa malaria lakini baadaye ikagundulika kuwa ana...
5 years ago
The Busby Babe09 Mar
Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red
Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red The Busby BabeMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva Goal.comMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick GIVEMESPORTManchester United vs. Manchester City analysis: Fernandes & Martial brilliant again | Premier League ESPN UKEderson errors sum up Man City's sloppiness in dismal derby defeat Goal.comView Full coverage on...
5 years ago
The Peoples Person09 Mar
Manchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Manchester City
Manchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Manchester City The Peoples PersonMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick GIVEMESPORTMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva Goal.comNemanja Matic to sign new deal at Manchester United The Peoples PersonMan United vs Man City: VAR fails to give penalty after Fred is kicked by Nicolas Otamendi GIVEMESPORTView Full coverage on...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvv1KaHNKxZxH4JKDGKvxtzmZBoHZLdHlYkju3kHlyR4n2vsGIw-9OoY*8AC0tttq0789XvuCvRMmMF4vD*cw8au/manu.jpg?width=650)
MANCHESTER UNITED ILIVYOPELEKA KILIO KWA MANCHESTER CITY
Wachezaji wa Manchester United wakishangilia baada ya ushindi wao wa 4-2 dhidi ya Manchester City. Ashley Young akifunga bao la kwanza kwa Man United dakika ya 14. Marouane Fellaini akiifungia Manchester United bao la pili dakika ya 28.…
5 years ago
Manchester Evening News08 Mar
How Man City should line up vs Manchester United in Manchester derby
How Man City should line up vs Manchester United in Manchester derby Manchester Evening NewsNemanja Matic to sign new deal at Manchester United The Peoples PersonSolskjaer on how Bruno Fernandes can help McTominay improve at Man Utd Goal.comPredicted Manchester United starting line-up vs Manchester City Sportslens.comManchester United left dangling as Mauricio Pochettino heads for Spain The Peoples PersonView Full coverage on Google News
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-P9Tz2YxANEk/VlmqR7G_IJI/AAAAAAAAEBE/Y80_RJTHpEQ/s72-c/pep-guardiola-1423056577335.jpg)
PEP GUARDIOLA'S NEXT CLUB: IS IT MANCHESTER UNITED OR MANCHESTER CITY !?
![](http://3.bp.blogspot.com/-P9Tz2YxANEk/VlmqR7G_IJI/AAAAAAAAEBE/Y80_RJTHpEQ/s1600/pep-guardiola-1423056577335.jpg)
The report states that Bayern Munich chief Karl-Heinz Rummenigge will announce...
5 years ago
The Busby Babe10 Mar
Manchester United 2-0 Manchester City: Three things we learned
Manchester United 2-0 Manchester City: Three things we learned The Busby BabeSky Sports pundit: What I really think of Bruno Fernandes at Man United The Sport ReviewMan Utd news: Wan-Bissaka duels with Sterling have become "personal" SquawkaWan-Bissaka could be Man United's man of the decade... Football365.com‘Stones has lost trust & Fernandinho isn’t a defender’ – Guardiola needs ‘little tweaks’ at Man City, says Richards Goal.comView Full coverage on Google...
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-M7eNSGiuNc0/VmLz-H-gEqI/AAAAAAAAEFI/zFJxDiZuBvE/s72-c/west-ham.jpg)
LIVESTREAM: MANCHESTER UNITED vs WESTHAM UNITED (Watch it Live Here, Now)
![](http://3.bp.blogspot.com/-M7eNSGiuNc0/VmLz-H-gEqI/AAAAAAAAEFI/zFJxDiZuBvE/s640/west-ham.jpg)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania