Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MMILIKI WA MANCHESTER UNITED AFARIKI DUNIA

BILIONEA Malcolm Glazer, aliyeshinda tenda ya utata ya kuichukua Manchester United mwaka 2005, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85. Mfanyabiashara huyo wa Marekani atakumbukwa kama bilionea wa Florida aliyeichukua kuimiliki binafsi United miaka tisa iliyopita na kuwekeza zaidi ya Pauni Milioni 500.
Glazer mkubwa amekuwa mgonjwa kwa muda sasa na kuwaachia shughuli za uendeshaji wa United watoto wake wa kiume, Joel na Avram.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MMILIKI WA MANCHESTER UNITED AFARIKI

Malcolm Glazer aliyefariki akiwa na miaka 85. MMILIKI wa timu ya Manchester United, Malcolm Glazer, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85. Amefariki akiwa nyumbani kwake Marekani. Glazer aliinunua klabu hiyo mwaka 2005 kwa pauni milioni 790 sawa na shilingi trioni 2.2 na akashuhudia timu hiyo ikipata mafanikio kadhaa ikiwemo kutwaa Kombe la Klabu Bingwa Ulaya na ya Ligi Kuu ya England. ...

 

9 years ago

GPL

MMILIKI WA FM ACADEMIA AFARIKI DUNIA

Martin Kasyanju enzi za uhai wake. Mmiliki wa Bendi ya FM Academia, Martin Kasyanju amefariki dunia jana. Msemaji wa Bendi ya FM Academia, Kelvin Mkinga amethibitisha kutokea kwa msiba huo na kusema kuwa Martin amefariki akiwa katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa siku chache. Kwa mujibu wa Kelvin ni kwamba marehemu alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa malaria lakini baadaye ikagundulika kuwa ana...

 

5 years ago

The Busby Babe

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red

Manchester United 2-0 Manchester City: Martial and McTominay make Manchester Red  The Busby BabeMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva  Goal.comMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick  GIVEMESPORTManchester United vs. Manchester City analysis: Fernandes & Martial brilliant again | Premier League  ESPN UKEderson errors sum up Man City's sloppiness in dismal derby defeat  Goal.comView Full coverage on...

 

5 years ago

The Peoples Person

Manchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Manchester City

Manchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Manchester City  The Peoples PersonMan United vs Man City: Anthony Martial makes it 1-0 following Bruno Fernandes' brilliant free-kick  GIVEMESPORTMan City display against Man Utd was 'unacceptable' - Bernardo Silva  Goal.comNemanja Matic to sign new deal at Manchester United  The Peoples PersonMan United vs Man City: VAR fails to give penalty after Fred is kicked by Nicolas Otamendi  GIVEMESPORTView Full coverage on...

 

10 years ago

GPL

MANCHESTER UNITED ILIVYOPELEKA KILIO KWA MANCHESTER CITY

Wachezaji wa Manchester United wakishangilia baada ya ushindi wao wa 4-2 dhidi ya Manchester City. Ashley Young akifunga bao la kwanza kwa Man United dakika ya 14. Marouane Fellaini akiifungia Manchester United bao la pili dakika ya 28.…

 

5 years ago

Manchester Evening News

How Man City should line up vs Manchester United in Manchester derby

How Man City should line up vs Manchester United in Manchester derby  Manchester Evening NewsNemanja Matic to sign new deal at Manchester United  The Peoples PersonSolskjaer on how Bruno Fernandes can help McTominay improve at Man Utd  Goal.comPredicted Manchester United starting line-up vs Manchester City  Sportslens.comManchester United left dangling as Mauricio Pochettino heads for Spain  The Peoples PersonView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Africanjam.Com

PEP GUARDIOLA'S NEXT CLUB: IS IT MANCHESTER UNITED OR MANCHESTER CITY !?

Pep Guardiola will join Manchester City in the summer after deciding against extending his stay with Bayern Munich, according to reports in Spain.The former Barcelona coach, long linked with a move to the Etihad, has already decided he will move away from Germany after three seasons in charge of the Bundesliga giants, with his one remaining desire to manage in England, according to Spanish radio station Cope. 
The report states that Bayern Munich chief Karl-Heinz Rummenigge will announce...

 

5 years ago

The Busby Babe

Manchester United 2-0 Manchester City: Three things we learned

Manchester United 2-0 Manchester City: Three things we learned  The Busby BabeSky Sports pundit: What I really think of Bruno Fernandes at Man United  The Sport ReviewMan Utd news: Wan-Bissaka duels with Sterling have become "personal"  SquawkaWan-Bissaka could be Man United's man of the decade...  Football365.com‘Stones has lost trust & Fernandinho isn’t a defender’ – Guardiola needs ‘little tweaks’ at Man City, says Richards  Goal.comView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Africanjam.Com

LIVESTREAM: MANCHESTER UNITED vs WESTHAM UNITED (Watch it Live Here, Now)



Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani