Mwanamuziki Natalie Cole afariki dunia
Natalie Cole, mwanamuziki nyota kutoka Marekani aliyeimba nyimbo maarufu kama vile Unforgettable, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 65.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Mwanamuziki nguli na mshindi wa tuzo za Grammy, Natalie Cole amefariki dunia akiwa na miaka 65!!
Mwanamuziki nguli na mshindi wa tuzo mbalimbali zikiwemo za Grammy , Mwanamama Natalie Cole (Pichani) amefariki dunia usiku wa Desemba 31. Nchini Marekani huku taarifa za kifo chake zikitaarifiwa mapema leo Januari Mosi.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Gwiji huyo ambaye mpaka anapatwa na mahuti, ameweza kufikisha umri wa miaka 65 ni miongoni mwa wanamuziki wakongwe waliotoka katika familia ya wanamuziki mahiri. Natalie Cole enzi za uhai wake ameweza kutoa albma kadhaa na ameweza kufanya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAZ1lJxjdE8Kcuzb0AuwIlBRdYjaNO0B8NhVofXlTLssEP2LvkrtgPanJgo00QhwaMTEqHjenD47o6ulQNzKQfTi/fmacademy.jpg)
MWANAMUZIKI FM ACADEMIA AFARIKI DUNIA
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mwanamuziki Joseph Shabalala afariki dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJSI3sXfh3WDvaNjOWDEr29EueevlJ3pNgkDNH4pNkvsgc8C6FyEb0V9OcsKakXMS2RbusQzSnZCqZrasg431v*jG3mK7pL8/GeezMabovu.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mgxAyyZcFrNcptOSnN5iMZcOAAbRqOWYGwHNN3mSjLo2pIfYaUvV31nTFNWG7aNxuH5jTP5pfH1-RE*7PcpmXgc/BREAKING.gif)
SIMANZI: MWANAMUZIKI BANZA STONE AFARIKI DUNIA
10 years ago
MichuziMWANAMUZIKI MKONGWE WA TWANGA PEPETA,AMIGOLAS AFARIKI DUNIA
Taarifa za awali ambazo chumba cha habari cha Globu ya Jamii imezipata kutoka kwa vyanzo vya kuaminika,zinaeleza kuwa Marehemu Amigolas alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Moyo mpaka kufariki kwake.
Tutaendelea kupeana taarifa zaidi kuhusiana na msiba huu kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulm1bHLjnTCCqxtA2YXyKDPhAvchEfPnjO3JpiFrJekAyVb9N1hApNBIsFUwSA*nBU5Ha7gfn3uCTrBqEqEQgSN-/MUTOMBOMPINDA.jpg?width=450)
MWANAMUZIKI WA MAQUIS ORIGINAL, MUTOMBO LUFUNGULA AUDAX AFARIKI DUNIA
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZ: MWANAMUZIKI MKONGWE SHEM KARENGA AFARIKI DUNIA
Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini ,Shem Ibrahim Kalenga amefariki Dunia mapema leo katika hospitali ya Amana,Ilala Jijini Dar.Habari zilizotufikia zinaeleza kuwa mkongwe huyo amefariki hospitali ya Amana na kuwa msiba utakuwa nyumbani kwake Buguruni.Mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho makaburi ya kisutu baada ya sala ya Alasiri
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI -AMINA
======= ====== ======= ========
SHEM IBRAHIM KARENGA ni mmoja...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xjupg5LT-c8/U-njM1PB71I/AAAAAAAF-4Q/xpFexuWEnLQ/s72-c/e859ad8db7df5d2b63bbafb3fc7f49fc.jpg)
mwanamuziki nyota wa nyimbo za injili wa congo Natalie Makoma atembelea BBC London
![](http://1.bp.blogspot.com/-xjupg5LT-c8/U-njM1PB71I/AAAAAAAF-4Q/xpFexuWEnLQ/s1600/e859ad8db7df5d2b63bbafb3fc7f49fc.jpg)