mwanamuziki nyota wa nyimbo za injili wa congo Natalie Makoma atembelea BBC London
![](http://1.bp.blogspot.com/-xjupg5LT-c8/U-njM1PB71I/AAAAAAAF-4Q/xpFexuWEnLQ/s72-c/e859ad8db7df5d2b63bbafb3fc7f49fc.jpg)
Mzee wa Macharanga Charles Hilary akiwa na Natalie Makoma, mwanamuziki wa nyimbo za Injili kutoka Congo alipotembelea studio za BBC jijini London. Mwanamuziki huyu ni maarufu kwa nyimbo kibao zikiwemo 'Butu na Moyi', 'Moto Oyo, na 'Nzambe na Bomoyi' ulio katika mahadhi ya reggae. Hebu msikilize hapo chini
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM29 May
MUME WA MWANAMUZIKI WA NYIMBO ZA INJILI ADAIWA KUMBAKA SHEMEJI YAKE WA MIAKA 17
Mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, (jina tunalihifadhi kwa sasa), anatuhumiwa kumbaka shemeji yake mdogo (17).
Taarifa za tukio hilo ziliripotiwa juzi saa 12 jioni katika Kituo cha Polisi Tabata (Tabata Shule), zikimtuhumu mwanamume huyo kwamba alimbaka binti huyo mara tatu na kumsababishia maumivu makali.
Binti huyo alifika katika kituo hicho cha polisi akiwa na ndugu zake wawili ambao walilalamika kwamba kulikuwa na jitihada kubwa kutoka upande wa mtuhumiwa wa kuzima kesi hiyo.
...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zxYZ7WPpKss/U2XTLAuJ4aI/AAAAAAACgLU/V0lHiR-elHY/s72-c/12.jpg)
BAADA YA SHINYANGA,MWANAMUZIKI NYOTA WA INJILI KUTOKA AFRIKA KUSINI REBECCA MALOPE KUTUMBUIZA JIJINI MWANZA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-zxYZ7WPpKss/U2XTLAuJ4aI/AAAAAAACgLU/V0lHiR-elHY/s1600/12.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZA4Bl04FKjg/VFCst401_aI/AAAAAAAGuAU/L2YWPyUOvF4/s72-c/IMG-20141029-WA0005.jpg)
Mama Joyce Banda atembelea BBC London
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZA4Bl04FKjg/VFCst401_aI/AAAAAAAGuAU/L2YWPyUOvF4/s1600/IMG-20141029-WA0005.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zc7gZA8DifI/VFCsvZ6BPaI/AAAAAAAGuAc/KKt3xZ00rc4/s1600/IMG-20141029-WA0004.jpg)
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Mwanamuziki Natalie Cole afariki dunia
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
Mwanamuziki nguli na mshindi wa tuzo za Grammy, Natalie Cole amefariki dunia akiwa na miaka 65!!
Mwanamuziki nguli na mshindi wa tuzo mbalimbali zikiwemo za Grammy , Mwanamama Natalie Cole (Pichani) amefariki dunia usiku wa Desemba 31. Nchini Marekani huku taarifa za kifo chake zikitaarifiwa mapema leo Januari Mosi.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Gwiji huyo ambaye mpaka anapatwa na mahuti, ameweza kufikisha umri wa miaka 65 ni miongoni mwa wanamuziki wakongwe waliotoka katika familia ya wanamuziki mahiri. Natalie Cole enzi za uhai wake ameweza kutoa albma kadhaa na ameweza kufanya...
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Ni mtikisiko wa nyimbo za Injili Shinyanga, Mwanza
MALKIA wa muziki wa injili Afrika, Rebecca Malope wa Afrika Kusini, yu miongoni mwa waimbaji kutoka nje ya Tanzania ambao Jumapili ya Mei 4, watakuwa katika Uwanja wa CCM Kirumba,...
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Wasanii nyimbo za Injili kujichubua, tujifunze nini?
HAKUNA jambo ambalo linanikera kama mtu anapobadili rangi ya ngozi yake, kwani hivi sasa imeshakuwa fasheni si tu kwa wanawake, bali hata kwa wanaume na mbaya zaidi, jinamizi hilo limehamia...
11 years ago
Mwananchi25 May
Mwimbaji nyimbo za Injili mwenye ndoto za uigizaji
11 years ago
Michuzi10 Mar
MUZIKI UPO KWENYE FAMILIA YETU-MWANAMUZIKI WA INJILI MILKA KAKETE
![309253_4514172497095_415944777_n](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/02/309253_4514172497095_415944777_n.jpg)