BAADA YA SHINYANGA,MWANAMUZIKI NYOTA WA INJILI KUTOKA AFRIKA KUSINI REBECCA MALOPE KUTUMBUIZA JIJINI MWANZA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-zxYZ7WPpKss/U2XTLAuJ4aI/AAAAAAACgLU/V0lHiR-elHY/s72-c/12.jpg)
Mwimbaji Mahiri wa muziki wa nyimbo za Kiroho a.k.a Injili,Rose Muhando akiimba wimbo wake mpya wa Facebook na Twitter mbele ya mashabiki wake,katika uwanja wa Kambarage mapema jioni ya leo mkoani Shinyanga,ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa tamasha la Pasaka.Tamasha hilo linaloandaliwa na Msama Promotions Ltd kesho jumapili linaendelea katika uwanja wa CCM Kirumba jijiini Mwanza,ambapo Nyota wa Nyimbo za Injili kutoka nchini Afrika Kusini,Rebecca Malope atawatumbuiza wakazi wa jiji hilo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7LcWi4BkmZ8/VSBKx4MHmVI/AAAAAAAC2yM/dZyCpDYQ_Vk/s72-c/IMG_0689.jpg)
MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI KUTOKA AFRIKA KUSINI REBECCA MALOPE AWASILI USIKU HUU KUTUMBUIZA KESHO TAMASHA LA PASAKA JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LcWi4BkmZ8/VSBKx4MHmVI/AAAAAAAC2yM/dZyCpDYQ_Vk/s1600/IMG_0689.jpg)
11 years ago
Dewji Blog02 May
MWENDELEZO WA PASAKA; Mwanamuziki Rebecca Malope kutumbuiza April 4 Jijini Mwanza
MALKIA wa muziki wa Injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope (pichani) anatarajiwa kutua kwenye jiji la Mwanza a.k.a ROCKY CITY April 4,ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa Tamasha la Pasaka 2014
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama amesema kuwa Nyota huyo wa muziki wa nyimbo za Kiroho,ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha hilo,ameeleza kuwa msanii huyo alipata kura nyingi kutoka kwa mashabiki waliompendekeza kutumbuiza jijini humo.
“Tunashukuru...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXwIr3BASjdYH48NkwsQNLkCZT9ct8BMIMxb64xshb5rC2Q65KVSCV4ix7MGLoSa0K5Uk-zj5FrPbJCAo9LnXN9o/rebecca.gif?width=450)
MWENDELEZO WA PASAKA; MWANAMUZIKI REBECCA MALOPE KUTUMBUIZA APRIL 4 JIJINI MWANZA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w5tXqqm9OHc/UyA7rmTimkI/AAAAAAAFTEU/Wa3RCdQSmkg/s72-c/REBECA+MALOPE+3.gif)
MWENDELEZO WA TAMASHA LA PASAKA;MWANAMUZIKI REBECCA MALOPE KUTUMBUIZA APRIL 4 JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-w5tXqqm9OHc/UyA7rmTimkI/AAAAAAAFTEU/Wa3RCdQSmkg/s1600/REBECA+MALOPE+3.gif)
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama amesema kuwa Nyota huyo wa muziki wa nyimbo za Kiroho,ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha hilo,ameeleza kuwa msanii huyo alipata kura nyingi kutoka kwa mashabiki waliompendekeza kutumbuiza jijini humo.
“Tunashukuru kwamba...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-8lZq2Imq3nk/UytQ0NxbuKI/AAAAAAACdHw/LVQUNbY9W9g/s1600/IMG_0492.jpg)
MAANDALIZI YA TAMASHA LA PASAKA YAKAMILIKA, REBECCA MALOPE KUTUMBUIZA JIJINI MWANZA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8lZq2Imq3nk/UytQ0NxbuKI/AAAAAAACdHw/LVQUNbY9W9g/s72-c/IMG_0492.jpg)
maandalizi ya tamasha la pasaka yakamilika,rebecca malope kutumbuiza jijini mwanza.
Aakizungumza na Waandishi wa habari jijini dar leo katika viwanja vya Karimjee,Msama amebainisha kuwa kila kitu kimekwishakamilika,wakiwemo wasanii mbalimbali watakaotumbuiza siku hiyo,aidha amesema kuwa pamoja na wanamuziki wa nyumbani kushiriki tamasha hilo,pia...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
REBECCA MALOPE: Malkia wa Injili Afrika, gumzo kwa mashabiki Tamasha la Pasaka 2014
JINA la Rebecca Malope si geni masikioni na machoni mwa wengi, hasa kwa wapenzi, mashabiki na wadau wa muziki wa Injili. Rebecca aliyezaliwa mwaka 1968, yu miongoni mwa waimbaji wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-w5tXqqm9OHc/UyA7rmTimkI/AAAAAAAFTEU/Wa3RCdQSmkg/s72-c/REBECA+MALOPE+3.gif)
Rebecca Malope kutumbuiza tamasha la Pasaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-w5tXqqm9OHc/UyA7rmTimkI/AAAAAAAFTEU/Wa3RCdQSmkg/s1600/REBECA+MALOPE+3.gif)
“Tunashukuru kwamba baada ya mapendekezo ya mashabiki tuliwasiliana na Rebecca ambaye ameonesha uungwana wa hali ya juu na kutukubalia ombi...
9 years ago
Dewji Blog30 Oct
Mwanamuziki wa Afrika Kusini Bo Denim ‘Bo’ kutumbuiza Tamasha la Karibu Music Festival 2015
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Mwanamuziki nyota wa na balozi wa kutetea haki za watoto nchini Afrika Kusini Bo Denim ‘Bo’ kutoka Afrika Kusini ametajwa kuwa miongoni mwa wasanii wanaotarajia kutumbuiza katika tamasha kubwa la Kimataifa la Muziki la ‘Karibu Music Festival’ linaloratibiwa na Karibu Cultural Promotions Organization (KCPO) na Legendary Music Entertainment and Promotions Co. Ltd. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa tamasha hilo, Amarido Charles kupitia kurasa zake za mitandao ya...