Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama Joyce Banda atembelea BBC London

Rais wa Zamani wa Malawi,Mama Joyce Banda akiwa na Mtangazaji wa BBC,Charles Hilary wakati alipotembelea Shirika hilo la Habari nchini Uingereza jana.Rais wa Zamani wa Malawi,Mama Joyce Banda akiwa kwenye picha ya pamoja na Watangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC London,Nchini Uingereza.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mwanamuziki nyota wa nyimbo za injili wa congo Natalie Makoma atembelea BBC London

Mzee wa Macharanga Charles Hilary akiwa na Natalie Makoma, mwanamuziki wa nyimbo za Injili kutoka Congo alipotembelea  studio za BBC jijini London. Mwanamuziki huyu ni maarufu kwa nyimbo kibao zikiwemo 'Butu na Moyi', 'Moto Oyo, na 'Nzambe na Bomoyi' ulio katika mahadhi ya reggae. Hebu msikilize hapo chini

 

11 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA NHIF KIGOMA

Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akimsikiliza kwa makini Ofisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Dr. Emmanuel Francis wakati akitoa taarifa ya huduma zilizotolewa na Mfuko katika maadhimisho ya uchangiaji damu mkoani Kigoma, pembeni ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr. Kebwe S. Kebwe. Baadhi ya Wananchi wa Mkoa wa Kigoma waliojitokeza kwenye siku ya Uchangiaji Damu.

 

11 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR

Mke wa rais, Salma Kikwete, (Kushoto), akipatiwa maelezo na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, alipotembelea banda la Mfuko huo kwenye maonyesho ya 38 ya biasharaya Kimataifa ya Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Mwalimu JK Nyerere jijini jana, Julai 4, 2014. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu(Wapili kulia), akimuhudumia mstaafu, na mwanachama wa Mfuko huo, Jackson F. Salewa, wakati wa siku hya PSPF kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Joyce Banda hoi

SIKU moja baada ya matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini  Malawi kutangazwa na kuonyesha kuwa mgombea wa chama kikuu cha upinzani Democratic Progressive Party (DPP), Profesa Peter Mutharika, anaongoza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Joyce Banda abwagwa rasmi Malawi

HATIMAYE Profesa Peter Mutharika ameapishwa rasmi jana kuwa Rais wa Malawi baada ya kumbwaga aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Joyce Banda. Licha ya kucheleweshwa matokeo ya uchaguzi uliogubikwa na madai...

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Joyce Banda atarudi ikulu Malawi?

Wananchi wa Malawi wamepiga kura katika uchaguzi wenye ushindani mkubwa, huku Rais Joyce Banda akichuana na wapinzani wengine kumi na mmoja.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Joyce Banda on Malawi's future

Malawi's outgoing President Joyce Banda speaks about her country's future ahead of elections.

 

11 years ago

BBC

Malawi elections: Will Joyce Banda hang on to power?

Open race in Malawi's closest fought election to date

 

11 years ago

Michuzi

Joyce Banda accepts to hand over power to Prof. Arthur Mutharika

Malawian President Joyce Banda has accepted the elections results declared by Malawi Electoral Commission (MEC) that Democratic Progressive Party (DPP) leader Professor Arthur Peter Mutharika (APM) is the president-elect.

Banda has reportedly accepted the election results despite earlier this week claiming the vote was “null and void “amid allegations of polling irregularities and fraud. 

The outgoing president said that she was ready to leave office after the court ruled that the MEC...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani