Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwimbaji nyimbo za Injili mwenye ndoto za uigizaji

Kuna watu wanaoamini kwamba wanaweza kupitia katika njia ya mawazo ya ndoto zao, pasipo kujishughulisha na mambo mengine tofauti na wanayowaza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI HAPPY KIMALI AHUKUMIWA KWENDA JELA

  Mwimbaji Maarufu wa Nyimbo za Kumtukuza Mungu, Happy Kamili. Mwimbaji Maarufu wa Nyimbo za Kumtukuza Mungu, Happy Kamili amehukumiwa  kifungo cha Miezi mitatu jela kwa kosa la Kugonga Gari iliyokuwa nyuma yake wakati alipokuwa akiirudisha nyuma Gari yake mwezi wa kwanza mwaka huu. Taarifa Kamili inakuja! CHANZO NI MBEYA YETU…

 

11 years ago

CloudsFM

JESHI LA POLISI LATOA TAARIFA KUHUSU AJALI MWIMBAJI NYIMBO ZA INJILI, BAHATI BUKUKU

Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma David Misime - SACP Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma Gari lenye namba IT 7945 aina ya Toyota Nadia ikiendeshwa na EDSON S/O MWAKABUNGU, Mnyakyusa, Miaka 31 mkazi wa Tabata – Dar es Salaam liliacha njia na kugonga gema na kusababisha majeruhi kwa watu watatu baada ya kugongwa na gari lingine linalosadikiwa kuwa ni Fuso.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema ajali hiyo imetokea tarehe...

 

10 years ago

Michuzi

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI BONNE MWAITEGE AZINDUA ALBAMU ZAKE TATU KWA MPIGO JIJINI DAR


????????????????????????????????????Askofu na Dokta Mwakibolwa wa EAGT pamoja na maaskofu wenzake wakiombea albam hizo kabla ya kuzizindua rasmi kushoto ni Alex Msama Mkurugenzi wa Kamuni ya Msama Promotion.????????????????????????????????????Askofu na Dokta Mwakibolwa wa EAGT akizindua rasmi albam hizo kushoto Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama.????????????????????????????????????Maaskofu na wachungaji wakiwa wameshikilia albam zao mara baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion.
????????????????????????????????????Baadhi ya maaskofu na wachungaji waliohudhuria katika uzinduzi huo...

 

9 years ago

Michuzi

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI WA AFRIKA KUSINI SIPHO MWAKABANE KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI OKTOBA 4 MWAKA HUU.

 Mwenyekiti wa  kamati ya maandalizi ya Tamasha la Amani linalotarajia kufanyika Oktoba 4 kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusina na Msanii wa Afrika Kusini,Sipho Mwakabane ambaye atatumbuiza katika tamasha  Oktoba 4 mwaka huu. Pia amesema kuwa msanii huyo wa nyimbo za Injili wa kimataifa. Na kulia ni Mratibu wa Tamasha la kuombea Amani, Hudson...

 

10 years ago

Michuzi

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI KUTOKA AFRIKA KUSINI REBECCA MALOPE AWASILI USIKU HUU KUTUMBUIZA KESHO TAMASHA LA PASAKA JIJINI DAR.

 Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini anayetambulika kwa jina la Rebecca Malope akipungia  mkono mashabiki wake hawapo pichani mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere (JNIA) jioni hii tayari kwa kutumbuiza katika tamasha la miaka 15 ya Tamasha la Pasaka linalofanyika kesho kwenye uwanja wa michezo wa Taifa jijini Dar es salaam, ambapo Solly Mahlangu mwanamuziki nguli mwingine wa muziki wa injili kutoka nchini humo atawasili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwimbaji wa Injili kuipeperusha CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Dodoma, kimempitisha mwimbaji wa nyimbo za Injili wa Kanisa Kuu la Kianglikana mkoani humo, Josiah Mtonyi,  kuwania nafasi ya udiwani wa Kata ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwimbaji injili aomba kuwezeshwa

MWIMBAJI chipukizi wa nyimbo za injili anayekuja kwa kasi, Magdalena Nyambalya, amesema ndoto yake ni kuja kuwa mwimbaji jukwaani. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam juzi, Nyambalya alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, (jina tunalihifadhi kwa sasa), anatuhumiwa kumbaka shemeji yake mdogo (17).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani