NEWZ ALERT :JAJI AUGUSTINO RAMADHANI AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LbvIYHO7SOQ/XqfTT34z4kI/AAAAAAALoZ8/NVfNifAc9kcPwBQhXxPryJA3T4SG2KzWACLcBGAsYHQ/s72-c/db2c6887-8d2e-4784-b184-f217c456f0b1.jpg)
Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania Mhe. Augustino Ramadhani amefariki Dunia leo saa mbili Asubuhi katika Hospitali ya Agha Khan jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JX0IOHV7zlE/Xqfaq7bIRPI/AAAAAAAC4Fk/vzhqEMKrU28Cn8jHm4BIRUGwdrH1D_Q1ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
AFARIKI DUNIA JAJI MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JX0IOHV7zlE/Xqfaq7bIRPI/AAAAAAAC4Fk/vzhqEMKrU28Cn8jHm4BIRUGwdrH1D_Q1ACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Augustino Ramadhani amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Aga Khan, jijini Dar baada ya kuugua maradhi ya moyo.
Familia yake imesema hali ya Jaji Ramadhani ilibadilika jana usiku na kukimbizwa hospitalini hapo ambapo mauti ilimkuta leo asubuhi. Jaji Augustino Ramadhani pia alikuwa Brigedia Jenerali kabla ya kuitwa katika sekta ya Sheria na kutumikia Mahakama.
Alipostaafu ujaji, alipewa kazi ya ukasisi, akatawazwa rasmi kuwa Mchungaji wa Dayosisi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7z7YKe3ksQk/XoLToF8db3I/AAAAAAALlo8/8t6WpQ48EZITk8LpB7vF5YjEGsZ1UQg2wCLcBGAsYHQ/s72-c/4ef51247-c9a0-4c61-b6fb-d08018fc7663.jpg)
NEWZ ALERT : KATIBU MKUU CHAMA CHA CUF AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7z7YKe3ksQk/XoLToF8db3I/AAAAAAALlo8/8t6WpQ48EZITk8LpB7vF5YjEGsZ1UQg2wCLcBGAsYHQ/s640/4ef51247-c9a0-4c61-b6fb-d08018fc7663.jpg)
Marehemu Khalifa amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Aga Khan alipokuwa akipatiwa matibabu kutokana na Matatizo ya ini.
Kwa hakika Chama kimepata pigo kubwa na kwa yakini marehemu ameacha pengo ambalo haliwezi kuzibika kirahisi.
CUF-Chama Cha Wananchi kinatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JRNjD8GPUpU/XqltPBBnfpI/AAAAAAALojc/UwJeZbp_U7wu3siNWHiQAmoEZRd270v_gCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
NEWZ ALERT: MBUNGE WA JIMBO LA SUMVE RICHARD NDASA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JRNjD8GPUpU/XqltPBBnfpI/AAAAAAALojc/UwJeZbp_U7wu3siNWHiQAmoEZRd270v_gCLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Nov
NEWZ ALERT:msanii wa bongofleva Geez mabovu afariki dunia mjini Iringa usiku huu.
![](https://3.bp.blogspot.com/-rBbIFEx69LI/VGO81SWEPLI/AAAAAAACuro/EtX8p6Ge5dc/s640/index.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e0d8fddpW1Y/Xq1RDZcZbYI/AAAAAAALo1Q/RXet2-3e9YYExqZbVWuaf2_P6BeA0N7FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-02%2Bat%2B13.52.15.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5rbUr_lCw-4/U_H6EJYyotI/AAAAAAAGAfk/pb9Q9d8c2_I/s72-c/LewisJaji.jpg)
NEWS ALERT: Jaji Lewis Makame afariki Dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-5rbUr_lCw-4/U_H6EJYyotI/AAAAAAAGAfk/pb9Q9d8c2_I/s1600/LewisJaji.jpg)
taarifa kamili itakuja baadae.
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
MC Mkongwe ampongeza Jaji Augustino Ramadhani
MSHEREHESHAJI maarufu nchini, MC Mackie G. Mdachi ‘MC Mkongwe’ amempongeza Mwanafani mwenzao Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu. Akizungumza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_kKyJCj3gRY/XqseOICV5iI/AAAAAAALotw/sZ3aI1oZ9v078g3K8ANrgST9ASRd-h1EQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200430-WA0049.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHANI KUAGWA KITAIFA KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_kKyJCj3gRY/XqseOICV5iI/AAAAAAALotw/sZ3aI1oZ9v078g3K8ANrgST9ASRd-h1EQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200430-WA0049.jpg)
Mwili wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Augustino Ramadhani unatarajiwa kuagwa rasmi kitaifa kesho Ijumaa Mei Mosi, mwaka huu katika viwanja vya Karimjee, na mazishi yatafanyika Mei 2 Kimara jijini Dar es salaam.
Kiongozi huyo ataagwa Kitaifa kwa mujibu wa Sheria ya Mazishi ya Viongozi wa Kitaifa ya mwaka 2006.Taarifa iliyotolewa leo na Msajili wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Kelvin Mhina ilieleza kwamba taratibu zote za mazishi na maandalizi zinafanywa na kusimamiwa na...
5 years ago
MichuziHistoria Fupi ya Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani
Na Alban AbdallahKwa masikitiko makubwa sana, tumepata taarifa ya msiba wa Kaka wa makaka, Retired Chief Justice, Brigadier general, the most famous Zanzibarian Christian in the Tanzanian Government History, Reverend Cannon, father, son, friend, and national hero, Augustino Ramadhani. Tunataka kutowa pole kwa mkewe, wanawe, wajukuu, na family ya Ramadhani nzima. This is a monumental loss.
Kwa niaba ya familia yangu, nataka kumzungumzia Justice Augustino Ramadhani kama nilivomfahamu mimi....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania