Msiba wa Geez Mabovu: Young Killer aahirisha kuachia video ya 13 leo
Young Killer ametangaza kuaharisha kuachia video ya wimbo wake ’13’ aliomshirikisha Fid Q kufuatia msiba wa rapper Geez Mabovu uliotokea jana usiku. Video hiyo ilikuwa iachie Alhamis hii. Kupitia Instagram, Killer amesema video hiyo sasa itaachiwa Ijumaa ijayo. Kuna taarifa kuwa Geez anaweza kuzikwa leo kwao mjini Iringa.
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo507 Jul
Young Killer kuachia video ya wimbo ‘My Power’,july 12
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Young Killer kuachia ‘Mchana na Giza’
KINDA wa muziki wa hip hop nchini, Erick Msodoki ‘Young Killer’, anajipanga kuachia ngoma yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Mchana na Giza’ hivi karibuni. Young Killer ni miongoni mwa...
11 years ago
Michuzi18 Feb
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/AJrIzCLnQ5k/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJSI3sXfh3WDvaNjOWDEr29EueevlJ3pNgkDNH4pNkvsgc8C6FyEb0V9OcsKakXMS2RbusQzSnZCqZrasg431v*jG3mK7pL8/GeezMabovu.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA
10 years ago
Bongo512 Nov
Breaking: Geez Mabovu afariki dunia
10 years ago
CloudsFM14 Nov
10 years ago
Bongo513 Nov
Marehemu Geez Mabovu azikwa Mlolo, Iringa
11 years ago
GPL16 Dec