Mtoto wa miaka 2 amuokoa mamake
Mtoto mwenye umri wa miaka 2 pekee amepokea sifa kedekede kwa kuokoa maisha ya mamake kwa kuwapigia simu wahudumu wa afya baada ya mamake kuzimia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Mtoto wa miaka 12 ataka kumuua mamake kisa ?
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Mtoto wa Simba amlilia mamake
11 years ago
Michuzi21 Feb
MTOTO WA AJABU AZAWALIWA IRINGA HAFAHAMIKI KAMA WA KIUME AMA WA KIKE ,MAMAKE AOMBA MSAADA
..................................... MTOTO Junior Richard Rutta ambaye jinsia yake haieleweki anatafuta msaada utakaomuwezesha kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya CCBRT, jijini Dar es Salaam. Mtoto huyo mwenye miaka miwili na miezi saba anaishi na mama yake mzazi, Sophia Kindamba, mtaa wa Mtwivilla, mjini Iringa. Akiomba msaada huo, mama yake alisema jitihada za madaktari wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuchunguza na hatimaye...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mtoto wa miaka 9 aozeshwa na baba yake kwa mwanaume mwenye miaka 60
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/Untitled9.jpg)
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akiwa amepozi.
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo,...
11 years ago
Dewji Blog22 May
INASIKITISHA SANA: Mtoto wa miaka 4 afichwa katika Boksi miaka 4
Maria Said mama mkubwa wa Nasra, (katikati) ni baba mzazi wa Nasra, Rashidi Mvungi, na (kulia) ni mume wa Mariam Said wakiwa katika ofisi za ustwawi wa jamii mjini Morogoro baada ya kukamatwa na kufikishwa polisi kwa tuhuma za kumficha mtoto huyo ndani ya box kwa miaka 4 baada ya mama wa mtoto huyo kufariki dunia kwa ugonjwa wa Malaria.
MUME na mke wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kumficha mtoto kwa miaka 4 ndani ya Box .
Kamanda wa polisi mkoani Morogoro Leonard Paul...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Baba wa miaka 54 aoa mtoto wa miaka minane
10 years ago
Habarileo23 Oct
'Mtoto wa miaka 10 ana mtoto'
WIMBI la watoto wenye umri chini ya miaka 18 kupata ujauzito limetajwa kuhatarisha uhai wa mama na mtoto wakati wa kujifungua suala ambalo serikali na wadau wengine wameomba kuendelea kuelimisha jamii kudhibiti mimba za utotoni.
9 years ago
Habarileo28 Nov
RC Kilimanjaro amuokoa DC, DED
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala amewaokoa mkuu wa wilaya ya Mwanga, Shaibu Ndemanga na mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Jamuhuri Wiliam kutoathiriwa na hasira za wananchi waliokuwa wakishinikiza serikali kuweka matuta katika barabara kuu ya Dar kwenda Moshi, eneo la Kileo wilayani Mwanga kwa madai ya kuchoshwa na ajali za mara kwa mara.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcL*K5oiL-D7GQWMNBohUtLR1UqKJ9R*NsafJkNvXi1xu7uHsPzGxzVFpCZTbRO9UdoZVataFtHfpa9nvr*StwQU/5.jpg?width=650)
Manji amuokoa Kaseja Yanga