Baba wa miaka 54 aoa mtoto wa miaka minane
Polisi Wilaya ya Bunda, wanamshikilia baba mwenye umri wa miaka 54 kwa tuhuma kuoa mwanafunzi wa kike wa umri wa miaka minane.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Sep
Mzee wa miaka 55 aoa mtoto
MWANAMUME mwenye umri wa miaka 55 mkazi wa Kitongoji cha Nyamakokoto mjini Bunda, Joseph Nyanda amefikishwa mahakamani akidaiwa kubaka mwanafunzi mwenye umri wa miaka 12 na kumgeuza mkewe.
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mtoto wa miaka 9 aozeshwa na baba yake kwa mwanaume mwenye miaka 60
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/Untitled9.jpg)
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akiwa amepozi.
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo,...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Mtoto wa miaka 13 anusurika kuchinjwa na baba yake mzazi
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Blatter, Platini wafungiwa miaka minane
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Drummond miaka minane kutoshiriki riadha
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gZM9n_YJJdc/VBvbd46T0_I/AAAAAAAGkaI/QSWdJB8_MmM/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
LIBENEKE LA MJENGWABLOG LATIMIZA MIAKA MINANE LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gZM9n_YJJdc/VBvbd46T0_I/AAAAAAAGkaI/QSWdJB8_MmM/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
LEO ni Septemba 19, ni Siku ya Kuzaliwa Mtandao wa Mjengwablog.
Kwa mwanadamu, hakupaswi kuwapo na ukomo wa kujitahidi kufanya yalo mema kwa jamii yako.
Na katika kujitahidi kuyafanya yalo mema, basi, mwanadamu uwe tayari kukumbana na changamoto nyingi. Na kama ilivyo kwa maji ya mto, yanapokutana na mwamba, basi, kasi yake huongezeka maradufu.
Leo blogu yako hii ya Mjengwablog imetimiza miaka minane. Miaka minane si haba. Kwa mtoto, aweza kuwa darasa la Pili. Na kwetu wa...
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Ariel Sharon: Mbabe aliyepigania maisha miaka minane
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Miaka minane imepita: hatujui walipo Lemy na Zacharia(2)
11 years ago
Dewji Blog22 May
INASIKITISHA SANA: Mtoto wa miaka 4 afichwa katika Boksi miaka 4
Maria Said mama mkubwa wa Nasra, (katikati) ni baba mzazi wa Nasra, Rashidi Mvungi, na (kulia) ni mume wa Mariam Said wakiwa katika ofisi za ustwawi wa jamii mjini Morogoro baada ya kukamatwa na kufikishwa polisi kwa tuhuma za kumficha mtoto huyo ndani ya box kwa miaka 4 baada ya mama wa mtoto huyo kufariki dunia kwa ugonjwa wa Malaria.
MUME na mke wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kumficha mtoto kwa miaka 4 ndani ya Box .
Kamanda wa polisi mkoani Morogoro Leonard Paul...