Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzee wa miaka 55 aoa mtoto

MWANAMUME mwenye umri wa miaka 55 mkazi wa Kitongoji cha Nyamakokoto mjini Bunda, Joseph Nyanda amefikishwa mahakamani akidaiwa kubaka mwanafunzi mwenye umri wa miaka 12 na kumgeuza mkewe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Baba wa miaka 54 aoa mtoto wa miaka minane

Polisi Wilaya ya Bunda, wanamshikilia baba mwenye umri wa miaka 54 kwa tuhuma kuoa mwanafunzi wa kike wa umri wa miaka minane.

 

9 years ago

StarTV

Mzee wa miaka sabini amwingilia mtoto kimwili Arusha

Mzee anayekadiliwa kuwa na miaka sabini  mkazi  wa eneo la Unga limited mkoani Arusha anatuhumiwa  kumfanyia vitendo vichafu mtoto  mwenye umri wa miaka kumi  kwa kumwingilia kimwili kwa kipindi kirefu  na kumtishia kumuua endapo atatoa siri hiyo.

Mzee  huyo ambaye ni baba wa kufikia  wa mtoto aliyetendewa kitendo hicho  anadaiwa kusababisha  mtoto huyo kuacha shule na kumkabidhi majukumu mengine ya nyumbani.

 

Kwa mujibu wa maelezo ya majirani ni kwamba ,kabla ya kubainika kwa kitendo hicho...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mtoto wa miaka 9 aozeshwa na baba yake kwa mwanaume mwenye miaka 60

 Untitled

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9).

Untitled 1

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akiwa amepozi.

2 (2)

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia).

3

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo,...

 

11 years ago

Dewji Blog

INASIKITISHA SANA: Mtoto wa miaka 4 afichwa katika Boksi miaka 4

DSC01716mtotot

Maria Said mama mkubwa wa Nasra, (katikati) ni baba mzazi wa Nasra, Rashidi Mvungi, na (kulia) ni mume wa Mariam Said wakiwa katika ofisi za ustwawi wa jamii mjini Morogoro baada ya kukamatwa na kufikishwa polisi kwa tuhuma za kumficha mtoto huyo ndani ya box kwa miaka 4 baada ya mama wa mtoto huyo kufariki dunia kwa ugonjwa wa Malaria.

MUME na mke wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kumficha mtoto kwa miaka 4 ndani ya Box .

Kamanda wa polisi mkoani Morogoro Leonard Paul...

 

10 years ago

Habarileo

'Mtoto wa miaka 10 ana mtoto'

WIMBI la watoto wenye umri chini ya miaka 18 kupata ujauzito limetajwa kuhatarisha uhai wa mama na mtoto wakati wa kujifungua suala ambalo serikali na wadau wengine wameomba kuendelea kuelimisha jamii kudhibiti mimba za utotoni.

 

10 years ago

Habarileo

Kafulila aoa, mpambe Deo Filikunjombe

Jessica Kishoa akimvisha pete ya ndoa Mbunge wa jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila katika ibada ya ndoa Kanisa Katoliki Parokia ya Uvinza mkoani Kigoma jana. (Picha na Fadhili Abdallah).MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameaga ukapera baada ya kufunga ndoa na Jessica Kishoa katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Uvinza, huku akisindikizwa na Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), aliyekuwa mpambe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzee wa miaka 84 apotea majini Sydney

Maafisa nchini Australia wamesitisha zoezi la kumtafuta mzee mmoja aliyeanguka baharini mashariki mwa mji wa Sydney.

 

10 years ago

Michuzi

Miaka 90 ya Mzee Ali Hassan Mwinyi

Leo, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Ali Hassan Mwinyi anatimiza miaka 90. Tulipata fursa ya pekee kuketi naye akatueleza mambo machache kuhusu maisha yakeUNGANA NASI

 

10 years ago

BBCSwahili

Mzee amchoma mkewe wa miaka 16 Kenya

Mzee mwenye umri wa miaka 70 aliyemchoma mkewe mwenye umri wa miaka 16 mjini Mandera kazkazini mashariki mwa Kenya amekamatwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani