SKENDO! MAMA AJIFUNGUA, MANESI WADAIWA KUMTUMBUKIZA MTOTO KWENYE NDOO
![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wEzt2qQinNSA-5R8-c231xqYJf2UytPCRbUs6uQQnzduowQsvCv1OfiWXbeBwugzlypgl-7jqMqfwfur1Yn6qHi/skendo.jpg?width=650)
Stori: Dustan Shekidele, Morogoro No! Manesi wa wodi ya wazazi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro wameingia kwenye kashfa nzito ya kusababisha kifo baada ya kudaiwa kumtumbukiza mtoto mchanga kwenye ndoo kwa zaidi ya saa 3. Katoto kachanga kalikotumbukizwa kwenye ndoo kwa zaidi ya saa 3. Tukio hilo ambalo kwa sasa ni gumzo mkoani hapa lilijiri hivi karibuni ambapo mwanamke aitwaye Zainabu lsmali, mkazi wa Kididimo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGj8nXBcp01MK0lcDnnVhbAzjyPGtYi3wfkPMfWBGqGH6msBM0914eUaJ3UJqdEb6tDQjeQGSY02mVg9CwHHWJ94/MamaM.jpg)
MAMA AJIFUNGUA MTOTO WA AJABU
10 years ago
Habarileo30 Dec
Ajizalisha na kutumbukiza mtoto kwenye ndoo
MSICHANA mmoja mkazi wa Mtaa wa Zaire eneo la Kijenge Kaskazini mkoani Arusha, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru chini ya ulinzi mkali wa Polisi baada ya kujizalisha mwenyewe na kisha kumtumbukiza mtoto wake kwenye ndoo ya maji.
10 years ago
GPLMWANZA: MAMA AJIFUNGUA MTOTO, AMTUPA DAMPO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsul9s2kopcfsVpmUshDeOSE*NyzvttGjpXAA0ujMR-*vktuZHGTPT9r8DjN6mwgW7*Lu3GZMRlohgB2gyDb3-Hmo/baba.jpg)
MAMA, BABA WADAIWA KUMSULUBU MTOTO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ68YchqHfbbDsY2e6OzxW8mLiRTAnECwur-mP71hPz7IkZjHoSh7EGRxCgwzOjICf3fbXLPIsmOQ5z8Rm1Uw8c6d/BACKUWAZI.jpg?width=650)
SKENDO WODINI: MAMA ADAI KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME, APEWA WA KIKE TENA MAITI
10 years ago
Dewji Blog22 May
Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike
Aunt Ezekiel
Na Andrew Chale, Modewji blog
Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu Bongo Movie, kujua hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi. staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.
Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Wananchi wadaiwa kumuua mama, mtoto Tabora
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s72-c/page3.jpg)
MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s1600/page3.jpg)
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oQLJeGcPtWE/XvR4M3-A77I/AAAAAAALvWU/f80IKCGMHngTFVqdY9GQFJSPQObs-y3IgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B1.05.15%2BPM.jpeg)
BUWASA YAENDELEZA UTEKELEZAJI WA KUMTUA MAMA NDOO KICHWANI
Uzinduzi wa Vilula hivyo venye thamani ya shilingi Bilioni 2.4 ikiwa ni mwendelezo wa usambazaji wa mtandao wa Maji katika maeneo ya Kata Nne zilizosalia...