Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA, BABA WADAIWA KUMSULUBU MTOTO!

Stori:  Chande Abdallah, Deogratius Mongela na Shani Ramadhani MATUKIO ya vitendo vya ukatili na unyanyasaji kwa watoto yamekuwa yakiendelea kufanyika kila siku licha ya kukemewa mara kwa mara, safari hii, baba na mama wakidaiwa kumsulubu mtoto wao.
Katika hali ya kuonesha kwamba vitendo hivyo  bado vinaendelea kwa kasi, familia moja iliyopo Kunduchi jijini Dar imeshikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za ukatili dhidi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMA ADAIWA KUMSULUBU MTOTO, APEWA KIBANO

Na  Gladness Mallya na Shani Ramadhani
HII ni too much! Jalada namba KW/RB/7565/2014-SHAMBULIO LA KUDHURU MWILI lililopo kwenye Kituo cha Polisi cha Kawe, Dar, linamhusu mama aliyetajwa kwa jina moja la Teddy, mkazi wa Tegeta kwa madai ya kumtumikisha na kumtesa mtoto Magdalena Elisha (10) na kumsababishia majeraha na makovu ya vidonda sehemu mbalimbali mwilini. Mama anayedaiwa kumsulubu mtoto huyo akilia baada ya kutiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wadaiwa kumuua mama, mtoto Tabora

Licha ya Serikali kupiga vita kujichukulia sheria mikononi, unyanyasaji na mauaji ya wanawake, baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Uchama wilayani Nzega mkoani Tabora wamemuua mwanamke mmoja na mtoto wake wa kike kwa sababu zisizofahamika.

 

10 years ago

GPL

SKENDO! MAMA AJIFUNGUA, MANESI WADAIWA KUMTUMBUKIZA MTOTO KWENYE NDOO

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
No! Manesi wa wodi ya wazazi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro wameingia kwenye kashfa nzito ya kusababisha kifo baada ya kudaiwa kumtumbukiza mtoto mchanga kwenye ndoo kwa zaidi ya saa 3. Katoto kachanga kalikotumbukizwa kwenye ndoo kwa zaidi ya saa 3. Tukio hilo ambalo kwa sasa ni gumzo mkoani hapa lilijiri hivi karibuni ambapo mwanamke aitwaye Zainabu lsmali, mkazi wa Kididimo...

 

10 years ago

GPL

AHENYESHWA MAHAKAMANI KWA KUMSULUBU MTOTO

Na Haruni Sanchawa
TEDDY Omary John (22), mkazi wa Tegeta jijini Dar amejikuta akihenyeshwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kwa tuhuma za kumchoma na kumjeruhi mtoto Magdalena Elisha (10) na kitu chenye ncha kali mapajani na kumsababishia maumivu makali. Teddy Omary John (22), mkazi wa Tegeta jijini Dar anayetuhumiwa kumsulubu mtoto, Magdalena Elisha. Imedaiwa kuwa, mtuhumiwa ambaye alikuwa akiishi na binti huyo kama...

 

11 years ago

Mwananchi

Baba, mama, mtoto wafa ajalini

Familia inayowajumuisha baba, mama na mtoto ni miongoni mwa abiria 25 walipoteza maisha katika ajali za barabarani zilizotokea katika mikoa ya Singida, Lindi na Kilimanjaro.

 

11 years ago

Habarileo

Baba, mama wasababisha kifo cha mtoto

POLISI mkoani Rukwa inamshikilia baba mzazi huku ikimsaka mama wa mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja, Denis Umera aliyefariki dunia kutokana na kilichodaiwa ni ugomvi wa wazazi hao uliotokana na wivu wa mapenzi.

 

11 years ago

GPL

BABA, MAMA WASWEKWA SEGEREA KWA KUMTUPA MTOTO

Na Haruni Sanchawa
N hali ya kushangaza, lakini ndivyo ilivyo, baadhi ya watu wanasaka watoto lakini wengine wanawapata na kuwatupa. Kitoto kichanga kilichotelekezwa na wazazi wake kinyume cha sheria kikiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili. Kisa hiki kimetokea jijini Dar es Salaam hivi karibuni ambapo mtoto huyo wa mwaka mmoja sasa anayelelewa Hospitali ya Taifa Muhimbili, wazazi wake wamekutana na mkono wa sheria na kutupwa...

 

10 years ago

GPL

MAMA: KIPIGO CHA BABA YAKE KIMESABABISHA MTOTO AFANYIWE UPASUAJI WA KICHWA

Stori: Mayasa mariwata na Haruni Sanchawa
KATIKA hali ambayo siyo ya kawaida iliyowashangaza wakazi wa eneo la Ukonga Mazizini kwa Makobe, baba  mmoja aliyefahamika kwa jina la Elisha Zakari amedaiwa kumpiga mwanaye wa kumzaa kipigo kama cha ng’ombe machungani na kusababisha azimie na kulazwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mtoto Amani Elisha (10) aliyepigwa vibaya na baba yake mzazi hadi kuzimia kwa siku mbili. ...

 

11 years ago

Bongo5

Video: Mama amtuma mtoto kwa baba yake kwa kumfunga kama kifurushi (parcel)

Hiki ni kisa kilichotokea nchini Kenya na kuripotiwa na NTV, ambapo mwanamke mmoja ambaye ni mama ameamua kumfunga mwanaye kama mzigo na kumtuma kwa baba yake kwa njia ya kifurushi. Mtoto huyo wa kiume ana umri wa wiki tatu. Wafanyakazi wa kampuni ya G4S ambapo anayedaiwa kuwa baba wa mtoto huyo nafanya kazi, wamesema walikuta […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani