Baba, mama, mtoto wafa ajalini
Familia inayowajumuisha baba, mama na mtoto ni miongoni mwa abiria 25 walipoteza maisha katika ajali za barabarani zilizotokea katika mikoa ya Singida, Lindi na Kilimanjaro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Mama, mtoto wafa kwa radi Mpanda
MAMA na mtoto wake, wakazi wa Kijiji cha Mnyagala, Tarafa ya Kabungu, Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwao. Waliokufa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsul9s2kopcfsVpmUshDeOSE*NyzvttGjpXAA0ujMR-*vktuZHGTPT9r8DjN6mwgW7*Lu3GZMRlohgB2gyDb3-Hmo/baba.jpg)
MAMA, BABA WADAIWA KUMSULUBU MTOTO!
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Watatu wafa ajalini Same
WATU watatu wamekufa papo hapo katika matukio mawili tofauti ya ajali ya gari wilayani Same Kilimanjaro likiwemo la mwendesha pikipiki anayekadiriwa kuwa na miaka 20-25 kugongwa na gari la mizigo....
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Watu 11 wafa ajalini
11 years ago
Habarileo06 Jun
Baba, mama wasababisha kifo cha mtoto
POLISI mkoani Rukwa inamshikilia baba mzazi huku ikimsaka mama wa mtoto mwenye umri wa mwezi mmoja, Denis Umera aliyefariki dunia kutokana na kilichodaiwa ni ugomvi wa wazazi hao uliotokana na wivu wa mapenzi.
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Wawili wafa ajalini Dar
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema kuwa juzi saa 4 asubuhi, katika Barabara ya...
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Polisi 5 wafa ajalini Dodoma
JESHI la Polisi mkoani Dodoma limepata pigo baada ya askari wake watano kufa kwenye ajali ya gari eneo la Mitumba, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma. Akizungumzia ajali hiyo iliyotokea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kYLfWN4-a0awc2SwQD4Dbk1wTf-rt7vs0*kBHFZifWAES8WS3DT*QIPOkARHU7TQUWKH9dGm1SlWYoP-KVV2*JPXTgoDgNYA/BREAKINGNEWS.gif)
WANNE WAFA AJALINI IRINGA
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Watatu wafa ajalini Dar
WATU watatu wameripotiwa kufariki dunia katika matukio tofauti, akiwamo mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Pius Msekwa, Salumu Omar (6) aliyegongwa na gari. Kamanda wa Polisi Mkoa...