Mama, mtoto wafa kwa radi Mpanda
MAMA na mtoto wake, wakazi wa Kijiji cha Mnyagala, Tarafa ya Kabungu, Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwao. Waliokufa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Baba, mama, mtoto wafa ajalini
11 years ago
Mwananchi25 Apr
VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT)
11 years ago
Bongo501 Aug
Video: Mama amtuma mtoto kwa baba yake kwa kumfunga kama kifurushi (parcel)
10 years ago
Michuzi16 Mar
ONYESHA UZALENDO KWA KUPIGA KURA KWA KINARA WA UHAMASISHAJI WA AFYA YA MAMA NA MTOTO ROSE MWALONGO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/i4iR9vOOW3YeOH4gJT1gYgLFF22DCwRyTTiRC94t9DT_eJ1GbD9XICz8M6zxPV5uJExGnXy10NJVa3W8JdjDxI2Z0ETlATOxqMPyZFxSw5d6CHR0xKU6bLYU9GNiiJQNCKolxq-hwSi1yHklH_VU0WsiqmEluTVEol_9inB14tBXelTaKC0oh4GZVObp5dFepJfS0p_IyZ5XK25d4asRTFANbGrh9SNEG-IdQqTIv6Wi1C7njaPPYAYlrb7GvJTCioHK5WkTk8i1v4Jgkg5nAP1PP75oPjTJxtOEw2hoF0oWYEFltx5Zm_-3yOrhU4qymUf7tHIfWji3BFTSet0q7g=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-8OGySkdrsso%2FVQbpwLC1U2I%2FAAAAAAAAH2A%2FtUrIt48b7jY%2Fs1600%2Fmwalongo.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Sijambo la ajabu kwa wasomaji wa habari za kila siku kujikuta wakichagua baadhi ya kurasa au kutilia maanani zaidi habari za aina fulani, na hapa ina maana kuwa kuna vichwa vya habari vitakavyo wavuta kusoma habari yake mwanzo hadi mwisho.Harakati za kutetea haki za watoto na wanawake ndio eneo langu. Ndio maana habari hii haikunipita, habari iliyoandikwa kwenye habari iliyoandikwa kwenye gazeti la the Guardian, na nitaandika sehemu ya habari hii ili nanyi msome:“’Nilipokuwa mdogo sana...
10 years ago
StarTV24 Nov
Mama ashtakiwa kwa kutupa mtoto.
Mama mmoja nchini Australia anashtakiwa kwa kosa la jaribio la mauaji dhidi ya mtoto wake mchanga ambaye alikutwa akilia katika eneo alilotelekezwa kwenye mfereji unaopitisha maji machafu pembeni ya barabara mjini Sydney,ambapo Polisi wanakisia kuwa mtoto huyo alikuwa katika eneo hilo kwa siku tano.
Waendesha baiskeli walisikia sauti ya mtoto ikitokea kwenye eneo hilo siku ya jumapili.
Mwanamke huyo,Saifale Nai alitiwa nguvuni na Polisi baada ya msako uliodumu kwa saa kadhaa kwa kupata...