Mama ashtakiwa kwa kutupa mtoto.
Mama mmoja nchini Australia anashtakiwa kwa kosa la jaribio la mauaji dhidi ya mtoto wake mchanga ambaye alikutwa akilia katika eneo alilotelekezwa kwenye mfereji unaopitisha maji machafu pembeni ya barabara mjini Sydney,ambapo Polisi wanakisia kuwa mtoto huyo alikuwa katika eneo hilo kwa siku tano.
Waendesha baiskeli walisikia sauti ya mtoto ikitokea kwenye eneo hilo siku ya jumapili.
Mwanamke huyo,Saifale Nai alitiwa nguvuni na Polisi baada ya msako uliodumu kwa saa kadhaa kwa kupata...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Nov
Mama ashtakiwa kutupa mtoto Sydey
10 years ago
Habarileo18 Feb
Ashtakiwa kwa kunajisi mtoto wa miaka 4
MKAZI wa Bangulo Hali ya Hewa, Baraka Benson (30) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kumnajisi mtoto wa miaka minne.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Binti mbaroni akituhumiwa kutupa mtoto
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Mwanamke anayedaiwa kuuza mtoto mtandaoni ashtakiwa
11 years ago
Mwananchi25 Apr
VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT)