Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama ashtakiwa kwa kutupa mtoto.

Mama mmoja nchini Australia anashtakiwa kwa kosa la jaribio la mauaji dhidi ya mtoto wake mchanga ambaye alikutwa akilia katika eneo alilotelekezwa kwenye mfereji unaopitisha maji machafu pembeni ya barabara mjini Sydney,ambapo Polisi wanakisia kuwa mtoto huyo alikuwa katika eneo hilo kwa siku tano.

Waendesha baiskeli walisikia sauti ya mtoto ikitokea kwenye eneo hilo siku ya jumapili.

Mwanamke huyo,Saifale Nai alitiwa nguvuni na Polisi baada ya msako uliodumu kwa saa kadhaa kwa kupata...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mama ashtakiwa kutupa mtoto Sydey

Mama ashtakiwa kwa kosa la kujaribu kuua baada ya kumtupa mtoto wake mchanga

 

10 years ago

Habarileo

Ashtakiwa kwa kunajisi mtoto wa miaka 4

MKAZI wa Bangulo Hali ya Hewa, Baraka Benson (30) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kumnajisi mtoto wa miaka minne.

 

11 years ago

Mwananchi

Binti mbaroni akituhumiwa kutupa mtoto

Mkazi wa Kijiji cha Namibu wilayani Bunda, Adventina Makongo (17) jana alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa wilaya hiyo kujibu shtaka la kutupa mtoto wake mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kichakani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke anayedaiwa kuuza mtoto mtandaoni ashtakiwa

Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 20 nchini Afrika Kusini amefikishwa mahakamani leo akidaiwa kujaribu kumuuza mwanawe.

 

11 years ago

Mwananchi

VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT)

Tangu Ugonjwa Unaodhoofisha Kinga ya Mwili (Ukimwi) ulipogundulika mwaka 1983, zimekuwapo changamoto kuhusu maambukizi hayo. Kubwa ni maambukizi ya mama kwenda kwa mtoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani