Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke anayedaiwa kuuza mtoto mtandaoni ashtakiwa

Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 20 nchini Afrika Kusini amefikishwa mahakamani leo akidaiwa kujaribu kumuuza mwanawe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Weusi kuuza album yao mtandaoni kukwepa maharamia

Licha ya kukithiri kwa tatizo la wizi wa kazi za sanaa Tanzania, kundi la muziki la Weusi lina mpango wa kuuza album yao kwa njia ya watu kudownload mtandaoni. Msemaji wa kundi hilo, rapper Nikki Wa Pili amesema kuwa wanaamini kwamba hiyo ni njia itakayowapunguza nguvu maharamia wa kazi za wasanii. “Plan yetu ni kuweka […]

 

11 years ago

Mwananchi

Ben Pol: Aeleza sababu za kuuza albamu mtandaoni

Wakati wasanii wengine wakitoa albamu za Mixtape na kuziuza sokoni, wiki hii mwanamuziki wa R&B Bernald Paul maarufu Ben Pol ameachia wimbo wake mpya ‘Unanichora’, huku akifanya uamuzi mgumu  wa kuiuza albamu yake mtandaoni.

 

10 years ago

GPL

HUYU NDIYE ANAYEDAIWA KUUAWA MA MTOTO WA WAZIRI

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
INASIKITISHA! Mmiliki wa Shule ya Msingi na Awali (International) ya Mount Zion iliyopo Bahari Beach, Dar, Annah Mizighi Mwambili, 47, (pichani) ameuawa na mwili wake kutupwa ndani ya shule yake baada ya kupotea kwa zaidi ya miezi sita huku mtoto wa aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Tatu Ntimizi, Said Ntimizi akidaiwa kuwa mmoja kati ya watuhumiwa wa mauaji...

 

10 years ago

StarTV

Mama ashtakiwa kwa kutupa mtoto.

Mama mmoja nchini Australia anashtakiwa kwa kosa la jaribio la mauaji dhidi ya mtoto wake mchanga ambaye alikutwa akilia katika eneo alilotelekezwa kwenye mfereji unaopitisha maji machafu pembeni ya barabara mjini Sydney,ambapo Polisi wanakisia kuwa mtoto huyo alikuwa katika eneo hilo kwa siku tano.

Waendesha baiskeli walisikia sauti ya mtoto ikitokea kwenye eneo hilo siku ya jumapili.

Mwanamke huyo,Saifale Nai alitiwa nguvuni na Polisi baada ya msako uliodumu kwa saa kadhaa kwa kupata...

 

10 years ago

Habarileo

Ashtakiwa kwa kunajisi mtoto wa miaka 4

MKAZI wa Bangulo Hali ya Hewa, Baraka Benson (30) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, akikabiliwa na mashitaka ya kumnajisi mtoto wa miaka minne.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mama ashtakiwa kutupa mtoto Sydey

Mama ashtakiwa kwa kosa la kujaribu kuua baada ya kumtupa mtoto wake mchanga

 

11 years ago

GPL

POLISI WA KIKE ANAYEDAIWA KUIBA MTOTO, HUYU HAPA!

Stori: Mwandishi Wetu, Mbeya SIKU chache baada ya kukamatwa kwa askari wa Jeshi la Polisi aliyefahamika kwa jina la Prisca Kilwai mwenye namba WP 5367 na picha yake kudaiwa ‘kuminyiwa’ na askari wenzake ili isionekane, hatimaye Ijumaa Wikienda limeinasa. Mwanamama ambaye ni askari wa Jeshi la Polisi aliyefahamika kwa jina la Prisca Kilwai mwenye namba WP 5367 anayedaiwa kuiba mtoto wa jinsia ya kiume aliyefahamika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani