HUYU NDIYE ANAYEDAIWA KUUAWA MA MTOTO WA WAZIRI
![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhyVOgECoTu2gmg5copGMdb6iqdRVq9PjZIWD-zQJueOUOKvRhJF2o-jbh6GFcySiHk5C2gBReB0bJ2VGoctxamD/FRONTUWAZI.gif?width=650)
Deogratius Mongela na Chande Abdallah INASIKITISHA! Mmiliki wa Shule ya Msingi na Awali (International) ya Mount Zion iliyopo Bahari Beach, Dar, Annah Mizighi Mwambili, 47, (pichani) ameuawa na mwili wake kutupwa ndani ya shule yake baada ya kupotea kwa zaidi ya miezi sita huku mtoto wa aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Tatu Ntimizi, Said Ntimizi akidaiwa kuwa mmoja kati ya watuhumiwa wa mauaji...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6a*gQcMv6WfEz7GRG-6YJehp8OLI3i1WIgrVOpUDgeQoG-Z6UOq*ASlVvh6Y-C3UW36PqOb3PK*4uiNbS*hoFe*/FRONTWIKIENDA.jpg?width=650)
POLISI WA KIKE ANAYEDAIWA KUIBA MTOTO, HUYU HAPA!
11 years ago
CloudsFM16 Jul
HUYU NDIYE MTOTO ALIYEFICHWA UVUNGUNI MWA KITANDA MIAKA SITA
SAKATA la mtoto Devota Malole mwenye umri wa miaka mitano, ambaye ni mlemavu aliyeibuliwa baada ya kufichwa chini ya uvungu wa kitanda kwa muda wa miezi mitatu huko Matongolo, Dumila,Tarafa ya Magole wilayani Kilosa limeibua mambo mapya, baada ya kubaini kuwa aliyesababisha kuokolewa ni mume wa mama wa binti huyo.
Mashuhuda waliokuwepo wakati wa kufichuliwa kwa mtoto huyo, wakiwemo majirani na wapangaji wa nyumba aliyokuwa akiishi, walisema mpangaji wa chumba hicho, Masumbuko Mkwama (25),...
11 years ago
CloudsFM29 May
HUYU NDIYE MTOTO ALIYEFUNGIWA NDANI YA BOKSI KWA MIAKA MINNE NA MAMA YAKE MLEZI ILI ASIMWAMBUKIZE VIRUSI VYA UKIMWI
Mtoto wa miaka minne (jina limehifadhiwa), amedhulumiwa haki yake ya utu na kuteswa kwa zaidi ya miaka mitatu, kwa kufungiwa ndani ya boksi kama mnyama, ili asimuambukize mama mlezi virusi vinavyosababisha Ukimwi.
Wakizungumza na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaIp42yVa-YiR2Yi0D-zxT1X-7aquU*i0Bql2lT-QdyaI*JbA27VKBU00WWhUBvn7XG7VcORGtCkyPZUsLISRBbT/BABA.jpg?width=650)
BABA ANAYEDAIWA KUMCHINJA MWANAYE HUYU HAPA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwo4XPbesTsl40Adk0puw5x5NmwIxmh-93bxD3n6YJLVD*XtrZUvtCzyNS3Ov6811sBtUpT5Bte-dKBwVG3G1C4V/FRONTUWAZI.jpg)
MPENZI WA FACEBOOK ANAYEDAIWA KUMNYONGA MKE WA MTU GESTI DAR NI HUYU!
10 years ago
GPL17 Dec
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Huyu ndiye Mwalimu Kassim Majaliwa
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Tibaigana: Huyu ndiye Rais niliyemtaka