Tibaigana: Huyu ndiye Rais niliyemtaka
Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna mstaafu Alfred Tibaigana amesema Rais John Magufuli amepatikana wakati sahihi, kwa kuwa nchi inamhitaji kiongozi ambaye akitoa amri inatekelezwa mara moja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Huyu ndiye rais nimtakaye Serikali ijayo
Miezi michache imebaki kabla ya Watanzania kuwachagua viongozi wa Serikali ya awamu ya tano.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vVWZI3-17Oc/XumunPLz62I/AAAAAAALuKM/VuVJupFVXN4534yKnhz4qh36_46zo47GwCLcBGAsYHQ/s72-c/caaf6326-7ab0-4fa8-8a76-91d9d64c1696.jpg)
HUYU NDIYE MH. DKT. JOHN POMBE JOSEPH MGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
NA MWL FREDERICK J NDAHANI –SINGIDA Frederickjn@yahoo.com -0757622794
MH John Pombe Joseph Magufuli alizaliwa Oktoba 29,mwaka 1959 katika kijiji cha Chato,wilayani Biharamuro katika Mkoa wa Kagera .hivi sasa Chato ni Wilaya katika Mkoa wa Geita.
Mh Magufuli ni Daktari wa Falsafa (PhD) ya Kemia .Amejaliwa Mke na watoto Saba.Mh Magufuli alichaguliwa na Watanzania kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba ,2015 kwa tiketi ya CCM na kuapishwa ili aanze majukumu yake rasmi...
MH John Pombe Joseph Magufuli alizaliwa Oktoba 29,mwaka 1959 katika kijiji cha Chato,wilayani Biharamuro katika Mkoa wa Kagera .hivi sasa Chato ni Wilaya katika Mkoa wa Geita.
Mh Magufuli ni Daktari wa Falsafa (PhD) ya Kemia .Amejaliwa Mke na watoto Saba.Mh Magufuli alichaguliwa na Watanzania kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba ,2015 kwa tiketi ya CCM na kuapishwa ili aanze majukumu yake rasmi...
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Tibaigana: Nchi inahitaji rais dikteta
Iko dhana kuwa ili Tanzania ipige hatua kimaendeleo inahitaji kiongozi anayethubutu kufanya uamuzi mgumu hasa kuwawajibisha viongozi wabadhirifu na wazembe, lakini Kamanda wa Polisi mstaafu wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Alfred Tibaigana amekwenda mbali zaidi; anataka rais dikteta.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOqeTr76kwCCx4tCbh29Rve37-*mEcNt6DR57aRDtBB6KnIy5Jh71g7KcDkqtR0xZi6OE60kf9b6Dr53AGOFLnlv/dimpoz.jpg)
HUYU NDIYE OMMY DIMPOZ WA KITAMBO!
Stori: Musa Mateja
Tumetoka mbali! Picha ya staa wa Pozi kwa Pozi ‘PKP’, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, aliyofotolewa enzi anaingia jijini Dar kwa treni imekuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wake na sasa inaelekea kutapakaa kila kona ya nchi na wengi wakibishana namna alivyokuwa awali na muonekano wake wa sasa. Huu ni muonekano wa Staa wa Pozi kwa Pozi, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kwa sasa. ...
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Huyu ndiye Mwalimu Kassim Majaliwa
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tamissemi (Elimu), Kassim Majaliwa ndiye Waziri Mkuu mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ataapishwa leo mjini Dodoma kuwa Waziri Mkuu wa 11 wa Tanzania tangu uhuru.
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Huyu ndiye aliyebuni nembo ya Magufuli
MIEZI michache kabla ya kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (C
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEUDpKS4nSzNCBZlfNqZAaOwnFZmTKYNbbIzKwYVLBpApg-X5PH*QzMLelt18Qcc6g4-pZwxaC3zpV5p6karZbDo/samia.jpg?width=650)
SULUHU: HUYU NDIYE SHIBUDA ORIJINO
Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samia Suluhu. Na MWANDISHI WETU
WAKATI Mbunge wa Bariadi Magharibi (Chadema), John Shibuda akiwasilisha maoni ya wachache ya Kamati namba 8 ya Bunge Maalum la Katiba linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma Jumatano mchana, Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu alimsifu na kusema kuwa mwakilishi huyo wa wananchi ndiye orijino, ukimuona mwingine ni photokopi. Shibuda...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCwLVAiSL5JEKkbSQ1BFahbhU7v00yC549eS5VmC9iMJ6papAsouw386ly6MlRjPqGrejH8TFHCFDVzgYZcDK3ql/singa.jpg)
HUYU NDIYE SINGASINGA TAPELI WA ESCROW
Stori: Mwandishi Wetu
Unamjua? Anaitwa Harbinder Singh Sethi! Ni mfanyabiashara bilionea mwenye asili ya Bara la Asia na mmiliki wa mtambo wa kufua umeme wa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ambayo hivi karibuni imezua tafrani Bongo kufuatia kampuni yake kuhusishwa na uchotwaji wa fedha kiasi cha Sh. Bilioni 306 kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Singa singa ambaye ni...
10 years ago
Vijimambo22 Dec
HUYU NDIYE MUUWAJI WA POLISI WAWILI NEW YORK
![This 2009 photo provided by the Springfield, Ohio Police Department shows Ismaaiyl Brinsley after an arrest on a robbery charge.](http://ichef.bbci.co.uk/wwhp/ic/news/624-351/79880000/jpg/_79880261_79873813.jpg)
Ismaaiyl Brinsley, 28, anayo historia ya matatizo ya akili na ujambazi huko nyuma Muuaji aliwauwa polisi waliokuwa wamekaa ndani ya gari yao ya polisi na baadae Brinsley kukimbilia kwenye kituo cha Treni na kujipiga risasi na kufa papo hapo baada ya kuwaona hana pakutokea baada yakuzingirwa na polisi eneo hilo. Watu waliokua karibu na tukio walimsikia muuaji akiwaambia "watch what I'm going to do" na baada ya maneno hayo ndipo alipowaua polisi hao kwa kuwapiga risasi vichwani na juu mwilini...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania