SULUHU: HUYU NDIYE SHIBUDA ORIJINO
![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEUDpKS4nSzNCBZlfNqZAaOwnFZmTKYNbbIzKwYVLBpApg-X5PH*QzMLelt18Qcc6g4-pZwxaC3zpV5p6karZbDo/samia.jpg?width=650)
Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samia Suluhu. Na MWANDISHI WETU WAKATI Mbunge wa Bariadi Magharibi (Chadema), John Shibuda akiwasilisha maoni ya wachache ya Kamati namba 8 ya Bunge Maalum la Katiba linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma Jumatano mchana, Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu alimsifu na kusema kuwa mwakilishi huyo wa wananchi ndiye orijino, ukimuona mwingine ni photokopi. Shibuda...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Huyu hapa Samia Hassan Suluhu
JANA, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Pombe Joseph Magufuli alimtangaza Mbunge wa Makunduchi, mama Samia Hassan Suluhu kuwa mgombea wake mwenza, ikiwa na maana kwamba ni yeye ndiye atakayekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania iwapo chama hicho kitashinda katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Ikiwa hivyo, Samia atakuwa mwanamke wa kwanza Tanzania kukamata nafasi hiyo kubwa katika moja ya mihimili ya dola, serikali, akiwa ni mshauri mkuu wa Rais na namba mbili kwa uongozi...
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Huyu ndiye aliyebuni nembo ya Magufuli
MIEZI michache kabla ya kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (C
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Tibaigana: Huyu ndiye Rais niliyemtaka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCwLVAiSL5JEKkbSQ1BFahbhU7v00yC549eS5VmC9iMJ6papAsouw386ly6MlRjPqGrejH8TFHCFDVzgYZcDK3ql/singa.jpg)
HUYU NDIYE SINGASINGA TAPELI WA ESCROW
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOqeTr76kwCCx4tCbh29Rve37-*mEcNt6DR57aRDtBB6KnIy5Jh71g7KcDkqtR0xZi6OE60kf9b6Dr53AGOFLnlv/dimpoz.jpg)
HUYU NDIYE OMMY DIMPOZ WA KITAMBO!
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Huyu ndiye Mwalimu Kassim Majaliwa
10 years ago
Vijimambo22 Dec
HUYU NDIYE MUUWAJI WA POLISI WAWILI NEW YORK
![This 2009 photo provided by the Springfield, Ohio Police Department shows Ismaaiyl Brinsley after an arrest on a robbery charge.](http://ichef.bbci.co.uk/wwhp/ic/news/624-351/79880000/jpg/_79880261_79873813.jpg)
Ismaaiyl Brinsley, 28, anayo historia ya matatizo ya akili na ujambazi huko nyuma Muuaji aliwauwa polisi waliokuwa wamekaa ndani ya gari yao ya polisi na baadae Brinsley kukimbilia kwenye kituo cha Treni na kujipiga risasi na kufa papo hapo baada ya kuwaona hana pakutokea baada yakuzingirwa na polisi eneo hilo. Watu waliokua karibu na tukio walimsikia muuaji akiwaambia "watch what I'm going to do" na baada ya maneno hayo ndipo alipowaua polisi hao kwa kuwapiga risasi vichwani na juu mwilini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wFSeyrSyaR0ihFz0ON1TsHZLVm7zVXrXNefg9aiFsivRqYPoOCkbjNP1DcGNxLmfFvJ*MoS8Y*2UNZ5LDO4W-ze/zari.jpg)
HUYU NDIYE ALIYEMPA ZARI JEURI YA FEDHA
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Huyu ndiye rais nimtakaye Serikali ijayo