HUYU NDIYE MUUWAJI WA POLISI WAWILI NEW YORK
Ismaaiyl Brinsley, 28, anayo historia ya matatizo ya akili na ujambazi huko nyuma Muuaji aliwauwa polisi waliokuwa wamekaa ndani ya gari yao ya polisi na baadae Brinsley kukimbilia kwenye kituo cha Treni na kujipiga risasi na kufa papo hapo baada ya kuwaona hana pakutokea baada yakuzingirwa na polisi eneo hilo. Watu waliokua karibu na tukio walimsikia muuaji akiwaambia "watch what I'm going to do" na baada ya maneno hayo ndipo alipowaua polisi hao kwa kuwapiga risasi vichwani na juu mwilini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Dec
POLISI WAWILI WAUWAWA NEW YORK
![](http://si.wsj.net/public/resources/images/BN-GC681_2nycop_P_20141220182150.jpg)
![](https://tribktla.files.wordpress.com/2014/07/452855164.jpg)
Polisi wawili wameuwawa mjini Brooklyn New Yrk na mtu ambaye inasemekana amesafiri toka Baltimore Maryland kwa kukusudia kufanya mauaji hayo na baadae kujipiga risasi baada ya kuzingirwa na polisi ndani ya kituo cha treni.
Polisi wawili waliouwawa Wenjan Liu na Rafael Ramos waliuwawa siku ya jumamosi mchana Desemba 20, 2014 wakiwa ndani ya gari lao wakiwa wameegesha mjini...
10 years ago
Bongo Movies04 Dec
DUNIANI WAWILI WAWILI:Huyu Hapa Hana Hata Undugu na Wema Sepetu
Ule usemi wa duniani watu wawili wawili umedhiiika kwa muigizaji wa bongo movies,Wema Sepetu.Je hii ni kweli?.Hebu kutana na huyu mwanadada anaetumiajina la TUERNY kwenye mtandao wa INSTAGRAM.Kizuri zaidi wema mwenye anamfahamu hii nikutokana na moja kati ya marafiki wa Wema Ku-comment kwenye picha ya dada huyu akidai kuwa dada huyu anafanana na Wema na dadae Wema Ku-reply kwa kuonyesha kuwa anamfahamu na anamuita mke mweza.....Hebuzicheki picha zake hizi na kisha useme kama kunaumuhimu wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCwLVAiSL5JEKkbSQ1BFahbhU7v00yC549eS5VmC9iMJ6papAsouw386ly6MlRjPqGrejH8TFHCFDVzgYZcDK3ql/singa.jpg)
HUYU NDIYE SINGASINGA TAPELI WA ESCROW
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Huyu ndiye Mwalimu Kassim Majaliwa
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Tibaigana: Huyu ndiye Rais niliyemtaka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOqeTr76kwCCx4tCbh29Rve37-*mEcNt6DR57aRDtBB6KnIy5Jh71g7KcDkqtR0xZi6OE60kf9b6Dr53AGOFLnlv/dimpoz.jpg)
HUYU NDIYE OMMY DIMPOZ WA KITAMBO!
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Huyu ndiye aliyebuni nembo ya Magufuli
MIEZI michache kabla ya kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (C
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEUDpKS4nSzNCBZlfNqZAaOwnFZmTKYNbbIzKwYVLBpApg-X5PH*QzMLelt18Qcc6g4-pZwxaC3zpV5p6karZbDo/samia.jpg?width=650)
SULUHU: HUYU NDIYE SHIBUDA ORIJINO