Huyu ndiye rais nimtakaye Serikali ijayo
Miezi michache imebaki kabla ya Watanzania kuwachagua viongozi wa Serikali ya awamu ya tano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Tibaigana: Huyu ndiye Rais niliyemtaka
Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna mstaafu Alfred Tibaigana amesema Rais John Magufuli amepatikana wakati sahihi, kwa kuwa nchi inamhitaji kiongozi ambaye akitoa amri inatekelezwa mara moja.
5 years ago
Michuzi
HUYU NDIYE MH. DKT. JOHN POMBE JOSEPH MGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
NA MWL FREDERICK J NDAHANI –SINGIDA Frederickjn@yahoo.com -0757622794
MH John Pombe Joseph Magufuli alizaliwa Oktoba 29,mwaka 1959 katika kijiji cha Chato,wilayani Biharamuro katika Mkoa wa Kagera .hivi sasa Chato ni Wilaya katika Mkoa wa Geita.
Mh Magufuli ni Daktari wa Falsafa (PhD) ya Kemia .Amejaliwa Mke na watoto Saba.Mh Magufuli alichaguliwa na Watanzania kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba ,2015 kwa tiketi ya CCM na kuapishwa ili aanze majukumu yake rasmi...
MH John Pombe Joseph Magufuli alizaliwa Oktoba 29,mwaka 1959 katika kijiji cha Chato,wilayani Biharamuro katika Mkoa wa Kagera .hivi sasa Chato ni Wilaya katika Mkoa wa Geita.
Mh Magufuli ni Daktari wa Falsafa (PhD) ya Kemia .Amejaliwa Mke na watoto Saba.Mh Magufuli alichaguliwa na Watanzania kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba ,2015 kwa tiketi ya CCM na kuapishwa ili aanze majukumu yake rasmi...
10 years ago
Vijimambo
HUYU NA YULE Jumatatu ijayo....... Dr Talib Ali

Kwa ufupi........
10 years ago
Michuzi
HUYU NA YULE Jumatatu ijayo....... DK. Talib Ali

10 years ago
Vijimambo22 Apr
SABABU 4 ZA KIJANA HUYU KUWEZA KUONGOZA TAIFA LA TANZANIA MIAKA 5 IJAYO
SABABU NNE WANAZOSIMAMIA WANANCHI KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO(2015-2025) NI MWIGULU NCHEMBA.
Na,Julius Mathias.
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amebainisha sababu nne zinazowafanya wananchi wampendekeze kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba. Nchemba aliyasema hayo jana kwenye mahojiano
wakati wa kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV kuhusu tafiti zinazofanywa juu ya kukubalika kwa baadhi ya watia nia ya urais miongoni mwa wananchi wanaomtaja.
...

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amebainisha sababu nne zinazowafanya wananchi wampendekeze kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba. Nchemba aliyasema hayo jana kwenye mahojiano
wakati wa kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV kuhusu tafiti zinazofanywa juu ya kukubalika kwa baadhi ya watia nia ya urais miongoni mwa wananchi wanaomtaja.
...
10 years ago
GPL
HUYU NDIYE SINGASINGA TAPELI WA ESCROW
Stori: Mwandishi Wetu
Unamjua? Anaitwa Harbinder Singh Sethi! Ni mfanyabiashara bilionea mwenye asili ya Bara la Asia na mmiliki wa mtambo wa kufua umeme wa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ambayo hivi karibuni imezua tafrani Bongo kufuatia kampuni yake kuhusishwa na uchotwaji wa fedha kiasi cha Sh. Bilioni 306 kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Singa singa ambaye ni...
11 years ago
GPL
SULUHU: HUYU NDIYE SHIBUDA ORIJINO
Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samia Suluhu. Na MWANDISHI WETU
WAKATI Mbunge wa Bariadi Magharibi (Chadema), John Shibuda akiwasilisha maoni ya wachache ya Kamati namba 8 ya Bunge Maalum la Katiba linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma Jumatano mchana, Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu alimsifu na kusema kuwa mwakilishi huyo wa wananchi ndiye orijino, ukimuona mwingine ni photokopi. Shibuda...
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Huyu ndiye aliyebuni nembo ya Magufuli
MIEZI michache kabla ya kuanza kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (C
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Huyu ndiye Mwalimu Kassim Majaliwa
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tamissemi (Elimu), Kassim Majaliwa ndiye Waziri Mkuu mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ataapishwa leo mjini Dodoma kuwa Waziri Mkuu wa 11 wa Tanzania tangu uhuru.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania