SABABU 4 ZA KIJANA HUYU KUWEZA KUONGOZA TAIFA LA TANZANIA MIAKA 5 IJAYO
SABABU NNE WANAZOSIMAMIA WANANCHI KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO(2015-2025) NI MWIGULU NCHEMBA. Na,Julius Mathias.
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amebainisha sababu nne zinazowafanya wananchi wampendekeze kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba. Nchemba aliyasema hayo jana kwenye mahojiano
wakati wa kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV kuhusu tafiti zinazofanywa juu ya kukubalika kwa baadhi ya watia nia ya urais miongoni mwa wananchi wanaomtaja.
...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-E13a4vfj-mM/XsD0VJlshmI/AAAAAAALqiI/3PJIu0xV5NUyPMEEX1evQ0DqRVbpO8eswCLcBGAsYHQ/s72-c/e342cfad-ff15-455d-ad5a-294d1afe3faa.jpg)
FIHIR NVUBGI; HUYU NDIYE DIWANI ALIYEANZA KUONGOZA KATA YA MSANGENI MIAKA MITATU BAADA YA NCHI TANZANIA KUPATA UHURU HADI LEO
Charles James, Michuzi TV
JINA lake ni Fihir Mvungi, umri wake ni miaka 80. Ameongoza kwa miaka 55 kama Diwani wa Kata ya Msangeni iliyopo wilayani Mwanga, Kilimanjaro.
Ndio. Unaweza kusema Mvungi ndiye kiongozi wa kuchaguliwa ambaye amehudumu kwenye nafasi yake kwa muda mrefu bila kung'atuka wala kuondolewa na wananchi.
Katika mahojiano maalum ambayo amefanya na Michuzi...
10 years ago
Dewji Blog25 Apr
Tembo kutoweka Tanzania miaka 10 ijayo — Nyalandu
Pichani juu na chini ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza na katika mkutano uliohusisha wadau wa mashirika ya Kimataifa na asasi za kijamii ukiwa na lengo la ushirikishaji wa jamii katika masuala ya uhifadhi wa wanyamapori uliofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Mpingo House uliopo Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewji blog).
Na Modewji blog team
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema...
10 years ago
Vijimambo25 Apr
NYALANDU- TEMBO KUTOWEKA TANZANIA MIAKA 10 IJAYO
![DSC_0089](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0089.jpg)
![DSC_0082](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0082.jpg)
![DSC_0096](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0096.jpg)
10 years ago
Michuzi25 Apr
TEMBO KUTOWEKA TANZANIA MIAKA 10 IJAYO - NYALANDU
![DSC_0089](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0089.jpg)
![DSC_0135](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0135.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0089.jpg)
NYALANDU: TEMBO KUTOWEKA TANZANIA MIAKA 10 IJAYO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6kZGv7Ai0Bg/VKnzbAtv35I/AAAAAAAAHvo/sKdVcBpOqMk/s72-c/Harrieth%2BTalib%2BBandio.jpg)
HUYU NA YULE Jumatatu ijayo....... DK. Talib Ali
![](http://2.bp.blogspot.com/-6kZGv7Ai0Bg/VKnzbAtv35I/AAAAAAAAHvo/sKdVcBpOqMk/s640/Harrieth%2BTalib%2BBandio.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Huyu ndiye rais nimtakaye Serikali ijayo
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-6kZGv7Ai0Bg/VKnzbAtv35I/AAAAAAAAHvo/sKdVcBpOqMk/s72-c/Harrieth%2BTalib%2BBandio.jpg)
HUYU NA YULE Jumatatu ijayo....... Dr Talib Ali
![](http://2.bp.blogspot.com/-6kZGv7Ai0Bg/VKnzbAtv35I/AAAAAAAAHvo/sKdVcBpOqMk/s640/Harrieth%2BTalib%2BBandio.jpg)
Kwa ufupi........
10 years ago
GPL17 Dec