TEMBO KUTOWEKA TANZANIA MIAKA 10 IJAYO - NYALANDU
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza na katika mkutano uliohusisha wadau wa mashirika ya Kimataifa na asasi za kijamii ukiwa na lengo la ushirikishaji wa jamii katika masuala ya uhifadhi wa wanyamapori uliofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Mpingo House uliopo Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Maliaisli na Utalii, Mahmoud Mgimwa akitoa salamu kwa wadau wa taasisi za kirai. Kushoto Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Apr
NYALANDU- TEMBO KUTOWEKA TANZANIA MIAKA 10 IJAYO
![DSC_0089](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0089.jpg)
![DSC_0082](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0082.jpg)
![DSC_0096](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0096.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Apr
Tembo kutoweka Tanzania miaka 10 ijayo — Nyalandu
Pichani juu na chini ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza na katika mkutano uliohusisha wadau wa mashirika ya Kimataifa na asasi za kijamii ukiwa na lengo la ushirikishaji wa jamii katika masuala ya uhifadhi wa wanyamapori uliofanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Mpingo House uliopo Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewji blog).
Na Modewji blog team
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0089.jpg)
NYALANDU: TEMBO KUTOWEKA TANZANIA MIAKA 10 IJAYO
11 years ago
Habarileo24 May
Tembo hatarini kutoweka
TANZANIA inapoteza tembo 39 kila siku kutokana na matukio ya ujangili. Hali hiyo inatishia uwepo wa tembo hao ifikapo mwaka 2026.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Tembo, faru hatarini kutoweka
VITENDO vya ujangili vinavyoendelea kushamiri nchini, vimechangia taifa kukumbwa na hatari ya kutoweka kwa wanyamapori wakiwemo tembo na faru. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa na Profesa Davis Mwamfupe wa Chuo...
10 years ago
Vijimambo22 Apr
SABABU 4 ZA KIJANA HUYU KUWEZA KUONGOZA TAIFA LA TANZANIA MIAKA 5 IJAYO
![](https://scontent-ams.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10423657_1580968832158572_6481718446297113972_n.jpg?oh=fd4b14e1237a9206a2103508d6deed94&oe=55D921F9)
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amebainisha sababu nne zinazowafanya wananchi wampendekeze kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba. Nchemba aliyasema hayo jana kwenye mahojiano
wakati wa kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV kuhusu tafiti zinazofanywa juu ya kukubalika kwa baadhi ya watia nia ya urais miongoni mwa wananchi wanaomtaja.
...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Nyalandu: Majangili wazidi kuua tembo
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Nyalandu: Hakuna tembo aliyeuawa Selous karibuni
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0v5nJr16-jA/Uz33TxQMqUI/AAAAAAACezc/hkjgxzkO300/s72-c/vijimamboFront3+(1).jpg)
MHE. LAZARO NYALANDU MGENI RASMI MIAKA 4 YA VIJIMAMBO PROMOTING TANZANIA TOURISM EXPO IN USA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0v5nJr16-jA/Uz33TxQMqUI/AAAAAAACezc/hkjgxzkO300/s1600/vijimamboFront3+(1).jpg)