Nyalandu: Majangili wazidi kuua tembo
>Serikali imesisitiza kurejea kwa Operesheni Tokomeza Ujangili, ikitangaza kuwa tembo 13,000 tu ndio waliosalia katika Mbuga za Wanyama za Selous na Mikumi ambapo wanyama hao wamepungua kwa asilimia 66, sababu kubwa ikiwa ni ujangili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 May
Majangili wazidi kuteketeza tembo Tarangire
11 years ago
Dewji Blog10 May
Waziri Nyalandu akabidhiwa magari ya kusaidia kampeni ya kutokomeza Majangili wa mauaji ya Tembo
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akipokea funguo ya moja kati ya magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, kutoka kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Nyalandu akamia majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema vita ya ujangili ni endelevu na kubwa ambayo kila mmoja anatakiwa kushiriki. Nyalandu alitoa wito huo jana wizarani kwake mara baada ya...
10 years ago
Habarileo04 Nov
Nyalandu: Tutawasamehe majangili watakaojisalimisha
SERIKALI imewataka watu wanaoshiriki katika vitendo vya ujangili nchini, kujitokeza na kusalimisha vifaa na silaha wanazotumia katika kazi hiyo na watasamehewa.
11 years ago
Michuzi02 Apr
MAJANGILI 6 YAKAMATWA NA MENO YA TEMBO 53 YENYE JUMLA YA KILO 169.7
![DSCF3201](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/D1aq1CseUyPhb2Z1ckeYtMhkZ85CuNUcBeNdGqzYofwmz1qHeWg7BWBfFtm5nzN4pYXWoxkTU-0eMlHDLg56dNEp0tqC1xweG4xfZjfuea2NNEd65Tuy2YCfc0oUgg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3201.jpg?w=627&h=470)
![DSCF3202](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/ISVbu0NfmXCfwyOur6j7zDzCkn3MNgqVNQfTz1tR3tsXcfUBS09v02L0mFz-ecSQDv4NpljhXzgRjVVLoyHVn9Y97fsVj9mP3rwju5W0u9amb7mub8yzdLG-DGwW7A=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3202.jpg?w=627&h=470)
![DSCF3199](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/bQLbMLhkmJh50UxhGM33Ddvv8rDlGBoVUuBGgmkGJW6ruxoEtNUdxv0t2__tY8dGDdAZZzCsfykHfF_6BT7dIXzw0p0w797ckgbDQrF4JhoO6MQzdrwpFyTHdKBuQg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3199.jpg?w=627&h=470)
![DSCF3198](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/vDsKm6qQ1EHSDXa-JeXR80P6-Qb5XNF1aJ3Y_X4uMOxySeV4wlokbGwx_0h2gYN1RlNKQDGa-KEjqgIKfGOXTjwePBYt3vcpCHbDlq3VzNjJu5e_xV7PxEYqh5fULQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3198.jpg?w=627&h=470)
Na Pamela Mollel,Arusha Wizara ya maliasili na utalii imetangaza kukamatwa kwa meno 53 ya tembo yenye jumla ya...
9 years ago
StarTV13 Nov
Rais Magufuli aombwa kuwachukulia hatua majangili wa meno ya tembo
Kamati ya Okoa Tembo Tanzania imemuandikia barua Rais John Magufuli ya kumuomba kuwachukulia hatua majangili na wafanyabiashara haramu ya Meno ya Tembo Tanzania ili kupunguza mauaji ya Tembo nchini.
Mwaka 2009 Tanzania ilikuwa na idadi ya Tembo 109,00 lakini hadi kufikia mwaka 2014 idadi ilipungua kwa asilimia 60 mpaka kufikia Tembo 43, 000 ambapo jitihada za ziada zinahitajika ili kuwanusuru Tembo waliobaki.
Kutokana na tatizo hilo kamati Hiyo ya Okoa Tembo wa Tanzania imemtaka Rais...
10 years ago
Habarileo04 Mar
Nyalandu ataka ushirikiano kudhibiti majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema kuwa Tanzania ni nchi ya kwanza Afrika kwa kuwa na eneo kubwa lililotengwa kwa ajili ya wanyama pori, na kutaka ushirikiano kulinda rasilimali hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Nyalandu: Tuna orodha ya majangili 320
PAMOJA na serikali kutotaja majina ya watu 40 ambao Rais Jakaya Kikwete alisema ndio mtandao wa ujangili nchini, akiwemo tajiri maarufu mkoani Arusha, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu,...
10 years ago
Habarileo08 May
Nyalandu ataka nguvu zaidi dhidi ya majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amewataka askari wa Wanyamapori nchini na watendaji wa wizara yake kuongeza nguvu zaidi kwenye mapambano dhidi ya ujangili.