Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyalandu akamia majangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema vita ya ujangili ni endelevu na kubwa ambayo kila mmoja anatakiwa kushiriki. Nyalandu alitoa wito huo jana wizarani kwake mara baada ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Nyalandu: Tutawasamehe majangili watakaojisalimisha

Lazaro NyalanduSERIKALI imewataka watu wanaoshiriki katika vitendo vya ujangili nchini, kujitokeza na kusalimisha vifaa na silaha wanazotumia katika kazi hiyo na watasamehewa.

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu ataka ushirikiano kudhibiti majangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema kuwa Tanzania ni nchi ya kwanza Afrika kwa kuwa na eneo kubwa lililotengwa kwa ajili ya wanyama pori, na kutaka ushirikiano kulinda rasilimali hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu: Tuna orodha ya majangili 320

PAMOJA na serikali kutotaja majina ya watu 40 ambao Rais Jakaya Kikwete alisema ndio mtandao wa ujangili nchini, akiwemo tajiri maarufu mkoani Arusha, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu,...

 

11 years ago

Mwananchi

Nyalandu: Majangili wazidi kuua tembo

>Serikali imesisitiza kurejea kwa Operesheni Tokomeza Ujangili, ikitangaza kuwa tembo 13,000 tu ndio waliosalia katika Mbuga za Wanyama za Selous na Mikumi ambapo wanyama hao wamepungua kwa asilimia 66, sababu kubwa ikiwa ni ujangili.

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu ataka nguvu zaidi dhidi ya majangili

Lazaro Nyalandu.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amewataka askari wa Wanyamapori nchini na watendaji wa wizara yake kuongeza nguvu zaidi kwenye mapambano dhidi ya ujangili.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Nyalandu akabidhiwa magari ya kusaidia kampeni ya kutokomeza Majangili wa mauaji ya Tembo

1

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akipokea funguo ya moja kati ya magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, kutoka kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo...

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu: Vigogo serikalini wako bega kwa bega na majangili

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amedai kuwa majangili wote wanaotiwa mbaroni na vikosi vya Askari wa Wanyamapori, wanadaiwa wanatumwa na watu waliopo kwenye ofisi za serikali na wengine nje ya nchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wilshere akamia kumdhibiti Pirlo

Rio de Janeiro, Brazil. Kiungo Jack Wilshere amesema kumdhibiti Andrea Pirlo wa Italia itakuwa kipaumbele cha England wakati wa mchezo wa kwanza baina ya nchi hizo kwenye fainali za Kombe la Dunia mjini Manaus hapo Jumamosi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lina sasa akamia soka wanawake nchi nzima

CHAMA cha Soka ya Wanawake Tanzania (TWFA), kimesema kitahakikisha mikoa yote nchini inacheza ligi kama ilivyo kwa upande wa wanaume. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa chama hicho,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani