Lina sasa akamia soka wanawake nchi nzima
CHAMA cha Soka ya Wanawake Tanzania (TWFA), kimesema kitahakikisha mikoa yote nchini inacheza ligi kama ilivyo kwa upande wa wanaume. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa chama hicho,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Feb
TFF yaahidi kujenga vituo vya soka 169 nchi nzima
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Lowassa kuzungumza na wanawake nchi nzima
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MGOMBEA urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Waziri wa zamani, Edward Lowassa, leo anatarajiwa kuzungumza na wanawake wa makundi mbalimbali nchini katika kongamano lililoandaliwa na Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha).
Mwenyekiti wa Bawacha, Halima Mdee, aliwaambia waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuwa Lowassa atazungumza na wanawake hao kupitia televisheni mbalimbali zitakazorusha tukio hilo moja kwa moja.
Alisema katika mkutano huo mgombea...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
9 years ago
Habarileo23 Dec
Bomoabomoa nchi nzima
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Ukawa kusambaa nchi nzima
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0EnpUkUMSXiSXgTwcuz2ToHDxDhbZMmld4XfjIQ2-MZv9WGzJ0ixkvBYwX*qyIWEvQhNPGtSdpgl2jIGTEfMoZYLXbIps55/escore270.gif)
ESCROW MPASUKO NCHI NZIMA
11 years ago
Habarileo23 Jun
Bodaboda zabanwa nchi nzima
POLISI imetangaza operesheni nchi nzima ya kukamata madereva wa pikipiki (bodaboda), wasiofuata sheria za usalama barabarani, wakiwemo wanaopita taa nyekundu bila kuruhusiwa.
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Walimu kuandamana nchi nzima
BARAZA la Taifa la Chama cha Walimu Tanzania (CWT), limetoa siku 14 kwa wakurugenzi wa halmshauri nchini kuwapa barua za kuwapandisha vyeo walimu wanaostahili la sivyo watafanya maandamano nchi nzima....