Wilshere akamia kumdhibiti Pirlo
Rio de Janeiro, Brazil. Kiungo Jack Wilshere amesema kumdhibiti Andrea Pirlo wa Italia itakuwa kipaumbele cha England wakati wa mchezo wa kwanza baina ya nchi hizo kwenye fainali za Kombe la Dunia mjini Manaus hapo Jumamosi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Dk. Migiro atumiwa kumdhibiti Lowassa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepanga mkakati mpya wa kuengua wataka urais wanaume kwa kuingiza hisia za kijinsia kama walivyofanya kumdhibiti aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta, alipotaka kugombea...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Nyalandu akamia majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema vita ya ujangili ni endelevu na kubwa ambayo kila mmoja anatakiwa kushiriki. Nyalandu alitoa wito huo jana wizarani kwake mara baada ya...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Pogba amshukuru Pirlo kumpa elimu
TURIN, ITALIA
KIUNGO wa klabu ya Juventus, Paul Pogba, amesema anamshukuru sana kiungo wa zamani wa klabu hiyo, Andrea Pirlo, kwa kumpa elimu ya kupiga mipira ya adhabu.
Pogba juzi alifanikiwa kupachika bao kwa mpira wa adhabu katika mchezo wa Kombe la Copa Italia dhidi ya Torino, ambapo Juventus ilishinda mabao 4-0, hivyo akasema ujuzi huo ameupata kwa Pirlo.
“Pirlo alikuwa ni mtu ambaye alikuwa anapenda kunifundisha kupiga mipira ya adhabu wakati tukiwa pamoja katika klabu hii,...
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Pirlo akanusha kuondoka New York City
TURIN, ITALIA
KIUNGO wa Klabu ya New York City FC, Andrea Pirlo, amesisitiza kuwa hana mpango wa kuondoka katika klabu hiyo na kujiunga na Manchester City na Inter Milan kama taarifa zilivyosambaa.
Nyota huyo ambaye alikuwa anakipiga katika Klabu ya Juventus ya nchini Italia, alijiunga na Klabu ya New York City
wakati wa majira ya joto, lakini timu hiyo yenye mastaa kama vile David Villa, Frank Lampard na Pirlo imeshindwa kufanya vizuri msimu huu katika Ligi Kuu nchini Marekani ambapo...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Lina sasa akamia soka wanawake nchi nzima
CHAMA cha Soka ya Wanawake Tanzania (TWFA), kimesema kitahakikisha mikoa yote nchini inacheza ligi kama ilivyo kwa upande wa wanaume. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa chama hicho,...
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Wenger:Jack Wilshere si mvutaji
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Wilshere kuukosa mwanzo wa msimu
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Jack Wilshere mapema zaidi
11 years ago
BBCSwahili07 Mar
Jack Wilshere hatoshuka dimbani