Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wilshere akamia kumdhibiti Pirlo

Rio de Janeiro, Brazil. Kiungo Jack Wilshere amesema kumdhibiti Andrea Pirlo wa Italia itakuwa kipaumbele cha England wakati wa mchezo wa kwanza baina ya nchi hizo kwenye fainali za Kombe la Dunia mjini Manaus hapo Jumamosi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Migiro atumiwa kumdhibiti Lowassa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepanga mkakati mpya wa kuengua wataka urais wanaume kwa kuingiza hisia za kijinsia kama walivyofanya kumdhibiti aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta, alipotaka kugombea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nyalandu akamia majangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema vita ya ujangili ni endelevu na kubwa ambayo kila mmoja anatakiwa kushiriki. Nyalandu alitoa wito huo jana wizarani kwake mara baada ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Pogba amshukuru Pirlo kumpa elimu

Paul-Pogba-JuventusTURIN, ITALIA

KIUNGO wa klabu ya Juventus, Paul Pogba, amesema anamshukuru sana kiungo wa zamani wa klabu hiyo, Andrea Pirlo, kwa kumpa elimu ya kupiga mipira ya adhabu.

Pogba juzi alifanikiwa kupachika bao kwa mpira wa adhabu katika mchezo wa Kombe la Copa Italia dhidi ya Torino, ambapo Juventus ilishinda mabao 4-0, hivyo akasema ujuzi huo ameupata kwa Pirlo.

“Pirlo alikuwa ni mtu ambaye alikuwa anapenda kunifundisha kupiga mipira ya adhabu wakati tukiwa pamoja katika klabu hii,...

 

9 years ago

Mtanzania

Pirlo akanusha kuondoka New York City

Andrea-Pirlo-juveTURIN, ITALIA

KIUNGO wa Klabu ya New York City FC, Andrea Pirlo, amesisitiza kuwa hana mpango wa kuondoka katika klabu hiyo na kujiunga na Manchester City na Inter Milan kama taarifa zilivyosambaa.

Nyota huyo ambaye alikuwa anakipiga katika Klabu ya Juventus ya nchini Italia, alijiunga na Klabu ya New York City
wakati wa majira ya joto, lakini timu hiyo yenye mastaa kama vile David Villa, Frank Lampard na Pirlo imeshindwa kufanya vizuri msimu huu katika Ligi Kuu nchini Marekani ambapo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lina sasa akamia soka wanawake nchi nzima

CHAMA cha Soka ya Wanawake Tanzania (TWFA), kimesema kitahakikisha mikoa yote nchini inacheza ligi kama ilivyo kwa upande wa wanaume. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa chama hicho,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Jack Wilshere si mvutaji

Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger amemtetea kiungo Jack Wilshere,kuwa mchezaji huyo si ‘’mvutaji wa sigara’’

 

10 years ago

BBCSwahili

Wilshere kuukosa mwanzo wa msimu

Kiungo wa kimataifa wa Uingereza na Klabu ya soka ya Arsenal, Jack Wilshere atakua nje ya uwanja kwa wiki 6 mpaka 8

 

10 years ago

BBCSwahili

Jack Wilshere mapema zaidi

Arsene Wenger amesema kiungo Jack Wilshere anatarajiwa kurejea tena dimbani wiki mbili zijazo baada ya kuumia kifundo cha mguu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jack Wilshere hatoshuka dimbani

Alijeruhiwa wakati wa mchuano wa kirafiki wa kimataifa kati ya England na Denmark.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani