Majangili wazidi kuteketeza tembo Tarangire
Tembo wanane katika Hifadhi ya Tarangire mkoani hapa wameuawa katika kipindi cha Novemba 2013 hadi sasa huku meno 17 ya tembo yakikamatwa katika operesheni inayoendelea kufanywa na askari wa hifadhi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Nyalandu: Majangili wazidi kuua tembo
11 years ago
Michuzi02 Apr
MAJANGILI 6 YAKAMATWA NA MENO YA TEMBO 53 YENYE JUMLA YA KILO 169.7
![DSCF3201](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/D1aq1CseUyPhb2Z1ckeYtMhkZ85CuNUcBeNdGqzYofwmz1qHeWg7BWBfFtm5nzN4pYXWoxkTU-0eMlHDLg56dNEp0tqC1xweG4xfZjfuea2NNEd65Tuy2YCfc0oUgg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3201.jpg?w=627&h=470)
![DSCF3202](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/ISVbu0NfmXCfwyOur6j7zDzCkn3MNgqVNQfTz1tR3tsXcfUBS09v02L0mFz-ecSQDv4NpljhXzgRjVVLoyHVn9Y97fsVj9mP3rwju5W0u9amb7mub8yzdLG-DGwW7A=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3202.jpg?w=627&h=470)
![DSCF3199](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/bQLbMLhkmJh50UxhGM33Ddvv8rDlGBoVUuBGgmkGJW6ruxoEtNUdxv0t2__tY8dGDdAZZzCsfykHfF_6BT7dIXzw0p0w797ckgbDQrF4JhoO6MQzdrwpFyTHdKBuQg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3199.jpg?w=627&h=470)
![DSCF3198](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/vDsKm6qQ1EHSDXa-JeXR80P6-Qb5XNF1aJ3Y_X4uMOxySeV4wlokbGwx_0h2gYN1RlNKQDGa-KEjqgIKfGOXTjwePBYt3vcpCHbDlq3VzNjJu5e_xV7PxEYqh5fULQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/04/dscf3198.jpg?w=627&h=470)
Na Pamela Mollel,Arusha Wizara ya maliasili na utalii imetangaza kukamatwa kwa meno 53 ya tembo yenye jumla ya...
9 years ago
StarTV13 Nov
Rais Magufuli aombwa kuwachukulia hatua majangili wa meno ya tembo
Kamati ya Okoa Tembo Tanzania imemuandikia barua Rais John Magufuli ya kumuomba kuwachukulia hatua majangili na wafanyabiashara haramu ya Meno ya Tembo Tanzania ili kupunguza mauaji ya Tembo nchini.
Mwaka 2009 Tanzania ilikuwa na idadi ya Tembo 109,00 lakini hadi kufikia mwaka 2014 idadi ilipungua kwa asilimia 60 mpaka kufikia Tembo 43, 000 ambapo jitihada za ziada zinahitajika ili kuwanusuru Tembo waliobaki.
Kutokana na tatizo hilo kamati Hiyo ya Okoa Tembo wa Tanzania imemtaka Rais...
10 years ago
Mtanzania25 Apr
Tembo wazidi kuteketea
ELIAS MSUYA NA AZIZA MASOUD
WAKATI nusu ya tembo katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha wakidaiwa kupukutika ndani ya kipindi cha mwaka mmoja kutokana na ujangili, Serikali ya Tanzania inadaiwa kukalia ripoti ya kupungua kwa tembo nchini.
Taarifa ya kupungua kwa nusu ya tembo katika hifadhi hiyo imetolewa katika sensa ya wanyama hao iliyofanyika kwa miaka miwili kwa kupita juu ya mbuga za wanyama na kuangalia mgawanyiko wa tembo kwa Afrika nzima.
Sensa hiyo ilifadhiliwa na mwanzilishi wa Taasisi...
11 years ago
Dewji Blog10 May
Waziri Nyalandu akabidhiwa magari ya kusaidia kampeni ya kutokomeza Majangili wa mauaji ya Tembo
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akipokea funguo ya moja kati ya magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, kutoka kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo...
11 years ago
BBCSwahili30 Dec
Tembo wazidi kuuawa Tanzania
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini
Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.
Na Rabi Hume
Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...