Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tembo wazidi kuteketea

TemboELIAS MSUYA NA AZIZA MASOUD

WAKATI nusu ya tembo katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha wakidaiwa kupukutika ndani ya kipindi cha mwaka mmoja kutokana na ujangili, Serikali ya Tanzania inadaiwa kukalia ripoti ya kupungua kwa tembo nchini.
Taarifa ya kupungua kwa nusu ya tembo katika hifadhi hiyo imetolewa katika sensa ya wanyama hao iliyofanyika kwa miaka miwili kwa kupita juu ya mbuga za wanyama na kuangalia mgawanyiko wa tembo kwa Afrika nzima.
Sensa hiyo ilifadhiliwa na mwanzilishi wa Taasisi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Tembo wazidi kuuawa Tanzania

Maujia ya tembo yameongezeka nchini Tanzania tangia serikali ya nchi hiyo kusitisha Opereshieni tokomeza kutokana na kuwepo madai kwamba kulikuwa na ukiukwaji wa haki za binadamu

 

11 years ago

Mwananchi

Majangili wazidi kuteketeza tembo Tarangire

Tembo wanane katika Hifadhi ya Tarangire mkoani hapa wameuawa katika kipindi cha Novemba 2013 hadi sasa huku meno 17 ya tembo yakikamatwa katika operesheni inayoendelea kufanywa na askari wa hifadhi hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Nyalandu: Majangili wazidi kuua tembo

>Serikali imesisitiza kurejea kwa Operesheni Tokomeza Ujangili, ikitangaza kuwa tembo 13,000 tu ndio waliosalia katika Mbuga za Wanyama za Selous na Mikumi ambapo wanyama hao wamepungua kwa asilimia 66, sababu kubwa ikiwa ni ujangili.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini

tembo-620x308

Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.

Na Rabi Hume

Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...

 

10 years ago

Habarileo

Ushirikina wahusishwa kuteketea kwa bweni

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeWANAFUNZI wa kike 64 wa shule ya sekondari Mpwapwa hawana mahali pa kuishi baada ya bweni lao kuteketezwa kwa moto unaosadikiwa na wanafunzi ni wa kishirikina.

 

10 years ago

Bongo Movies

Batuli: Naumia Vijana Kuteketea na Dawa za Kulevya

Msanii wa Bongo movie Batuli ameonyesha kuumizwa mno na vijana ambao wanajiingiza katika matumizi ya dawa za kulevya na kupelekea kuharibu maisha yao pamoja na ndoto zao.

Batuli ameeleza hayo kupitia moja ya mtandao wake wa kijamii wa Twitter alipokuwa akiwasihi watu kuunga mkono vita dhidi ya dawa za kulevya nchini Tanzania, ili kuokoa maisha ya vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa.

Tatizo la dawa za kulevya limekuwa janga kubwa kwa kizazi cha sasa ambapo wahanga wakubwa wa tatizo hili ni...

 

11 years ago

GPL

JENGO LA JMC LILIVYONUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO

Jengo la JMC likiwaka moto. Wananchi wakishuhudia moto…

 

10 years ago

Mtanzania

Wabunge:Dar hatarini kuteketea kwa moto

mngSHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

KAMATI ya Nishati na Madini, imeonyesha hofu juu ya Jiji la Dar es Salaam kuteketea kwa moto, kutokana na uwezekano wa kulipuka kwa mabomba ya kusafirishia mafuta kunakochangiwa na wizi wa mafuta unaohusisha utoboaji wa mabomba hayo.
Kutokana na hali hiyo, wabunge wametaka vyombo vya ulinzi, hususan Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wapewe jukumu la kulinda miundombinu ya kusafirishia mafuta, huku baadhi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani