Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini
Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.
Na Rabi Hume
Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--e1ayHI3j0E/Xoq-qfIP5JI/AAAAAAALmJQ/loncYGTLySA2_8BZoEZtx0FIuseQCT8JQCLcBGAsYHQ/s72-c/3-4.jpg)
SERIKALI KUCHUKUA HATUA ZA HARAKA KUNUSURU ZIWA BASSOTU KUJAA NA KUSABABISHA MAAFA KWA WAKAZI WA KARIBU NA ZIWA HILO
![](https://1.bp.blogspot.com/--e1ayHI3j0E/Xoq-qfIP5JI/AAAAAAALmJQ/loncYGTLySA2_8BZoEZtx0FIuseQCT8JQCLcBGAsYHQ/s640/3-4.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/1-1-1.jpg)
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akipimwa joto la mwili alipowasili Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara kwa ajili ya ziara wilayani Hanang kuangalia athari za kufurika kwa Ziwa Basotu na kuzingira makazi ya wanachi.
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Warioba awataka JK, Dk Shein kuchukua hatua kunusuru Katiba
9 years ago
StarTV13 Nov
Rais Magufuli aombwa kuwachukulia hatua majangili wa meno ya tembo
Kamati ya Okoa Tembo Tanzania imemuandikia barua Rais John Magufuli ya kumuomba kuwachukulia hatua majangili na wafanyabiashara haramu ya Meno ya Tembo Tanzania ili kupunguza mauaji ya Tembo nchini.
Mwaka 2009 Tanzania ilikuwa na idadi ya Tembo 109,00 lakini hadi kufikia mwaka 2014 idadi ilipungua kwa asilimia 60 mpaka kufikia Tembo 43, 000 ambapo jitihada za ziada zinahitajika ili kuwanusuru Tembo waliobaki.
Kutokana na tatizo hilo kamati Hiyo ya Okoa Tembo wa Tanzania imemtaka Rais...
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Sanamu ya Tembo yatumiwa katika kampeni
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s72-c/w.jpg)
WAMWANDIKIA BARUA YA WAZI RAIS DKT MAGUFULI ACHUKUE HATUA DHIDI YA UJANGILI WA BIASHARA HARAMU YA MENO YA TEMBO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s640/w.jpg)
11 years ago
Dewji Blog10 May
Waziri Nyalandu akabidhiwa magari ya kusaidia kampeni ya kutokomeza Majangili wa mauaji ya Tembo
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akipokea funguo ya moja kati ya magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, kutoka kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo...
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Meno ya tembo 495 yakamatwa nchini
JUMLA ya meno ya tembo 495 yamekamatwa kwenye maeneo mbalimbali nchini katika kipindi cha miezi mitatu kuanzia Januari hadi Machi mwaka huu. Aidha watuhumiwa wa ujangili 544 wamefunguliwa mashitaka kwenye...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10