Sanamu ya Tembo yatumiwa katika kampeni
Masanii wa sanaa za ufundi na muziki Paulo Ndunguru ametumia takribani dola za kimarekani elfu kumi kutengeneza sanamu ya Tembo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini
Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.
Na Rabi Hume
Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...
11 years ago
Dewji Blog10 May
Waziri Nyalandu akabidhiwa magari ya kusaidia kampeni ya kutokomeza Majangili wa mauaji ya Tembo
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akipokea funguo ya moja kati ya magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, kutoka kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0PZpI_EqPWE/VYLb2rVqg1I/AAAAAAABiDA/02Dy7SQ_wfY/s72-c/IMG_3714.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KWA KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIMATAIFA WILDAID, AFRICAN WILDLIFE FOUNDATION WAZINDU KAMPENI YA KUPAMBA NA NA UJADILI WA TEMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-0PZpI_EqPWE/VYLb2rVqg1I/AAAAAAABiDA/02Dy7SQ_wfY/s640/IMG_3714.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gNuilYM6hwI/VYLb2rbXtvI/AAAAAAABiC8/w0e4qbg1f44/s640/IMG_3731.jpg)
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mitandao yatumiwa kushambulia
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Mabomu mtawanyiko yatumiwa Libya
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Facebook yatumiwa kuwatafuta mahujaji Mali
11 years ago
Mwananchi09 May
Meno ya tembo yaibwa katika kituo cha polisi
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
TICS wapanda miti 250 katika shule ya Sekondari Kurasini katika kampeni ya GO Green!
Waalimu wa shule ya sekondari ya Kurasini wakiwa na viongozi wa TICS kabla ya kuanza zoezi la kupanda miche 250 kwenye eneo la shule hiyo jijini Dar es Salaam jana. Miche hiyo, mbolea na udongo wa kuistawisha imetolewa na TICS katika kampeni yake yenye kauli mbiu ya GO Green.
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa kitengo cha Uhandisi wa Tanzania International Container Terminal Services Ltd (TICS) Cornelius Kwadijk, Mkurugenzi wa Maendeleo, Donald Talawa, Meneja rasilimali watu, Sadick Abdalla...