Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Facebook yatumiwa kuwatafuta mahujaji Mali

Mwanamke mmoja wa Mali amefungua ukurasa wa mtandao wa facebook kwa lengo la kusaidia kupatikana kwa watu 200 kutoka Mali ambao wametoweka baada ya mkasa wa mahujaji nchini Saudia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Mali Facebook search for Hajj missing

A Malian woman sets up a Facebook page to help find some 200 people from Mali who are still missing after last month's Hajj pilgrimage crush.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mitandao yatumiwa kushambulia

Christopher Todd amekiri kuwatuma picha ya kudhalilisha wazazi wa mpenzi wake wa zamani

 

10 years ago

BBCSwahili

Mabomu mtawanyiko yatumiwa Libya

Human Rights Watch yasema Libya yatumia mabomu mtawanyiko ambayo yaumiza wasiokusudiwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali yaahidi kuwatafuta wanafunzi

Juhudi za kuwaokoa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara na kundi la wanamgambo la Boko Haram, zimepewa kipaombele katika mkutano wa usalama unaoendelea nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sanamu ya Tembo yatumiwa katika kampeni

Masanii wa sanaa za ufundi na muziki Paulo Ndunguru ametumia takribani dola za kimarekani elfu kumi kutengeneza sanamu ya Tembo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yasaidia Nigeria kuwatafuta wasichana

Kikosi cha Israel cha kukabiliana na ugaidi kinatarajiwa kujiunga na juhudi za kuwatafuta zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara nchini Nigeria na wanamgambo wa kundi la Boko Haram.

 

5 years ago

Michuzi

RC Ole Sendeka awapa mwezi mmoja viongozi kuwatafuta wanafunzi 708

Na Amiri Kilagalila, Njombe

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Olesendeka ametoa muda wa mwezi mmoja kwa watendaji,maafisa elimu kata pamoja na viongozi wa mitaa na vijiji kuhakikisha wanafunzi 708 ambao hawajajiunga na masomo ya kidato cha kwanza,vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Sendeka ameonyesha Kukasirishwa na kitendo cha wanafunzi hao 708 waliofaulu kidato cha kwanza na kushindwa kujiunga na masomo.

Ametoa agizo hilo katika kikao cha tathimini ya elimu...

 

10 years ago

Bongo5

Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’

Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi. Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi. Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi na kushare nyaraka mbalimbali. Mtandao huo ambao […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Watendeeni haki mahujaji’

TAASISI za kusafirisha Mahujaji nchini, zimetakiwa kuwa na umoja na ushirikiano ili kuwatendea haki Waislamu wanaokwenda katika ibada ya hijjah Makha, nchini Saudi Arabia. Akizungumza jana, Mwenyekiti wa Taasisi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani