Facebook yatumiwa kuwatafuta mahujaji Mali
Mwanamke mmoja wa Mali amefungua ukurasa wa mtandao wa facebook kwa lengo la kusaidia kupatikana kwa watu 200 kutoka Mali ambao wametoweka baada ya mkasa wa mahujaji nchini Saudia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC13 Oct
Mali Facebook search for Hajj missing
A Malian woman sets up a Facebook page to help find some 200 people from Mali who are still missing after last month's Hajj pilgrimage crush.
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Mitandao yatumiwa kushambulia
Christopher Todd amekiri kuwatuma picha ya kudhalilisha wazazi wa mpenzi wake wa zamani
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Mabomu mtawanyiko yatumiwa Libya
Human Rights Watch yasema Libya yatumia mabomu mtawanyiko ambayo yaumiza wasiokusudiwa
11 years ago
BBCSwahili25 Apr
Serikali yaahidi kuwatafuta wanafunzi
Juhudi za kuwaokoa zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara na kundi la wanamgambo la Boko Haram, zimepewa kipaombele katika mkutano wa usalama unaoendelea nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Sanamu ya Tembo yatumiwa katika kampeni
Masanii wa sanaa za ufundi na muziki Paulo Ndunguru ametumia takribani dola za kimarekani elfu kumi kutengeneza sanamu ya Tembo.
11 years ago
BBCSwahili12 May
Israel yasaidia Nigeria kuwatafuta wasichana
Kikosi cha Israel cha kukabiliana na ugaidi kinatarajiwa kujiunga na juhudi za kuwatafuta zaidi ya wasichana 200 waliotekwa nyara nchini Nigeria na wanamgambo wa kundi la Boko Haram.
5 years ago
Michuzi
RC Ole Sendeka awapa mwezi mmoja viongozi kuwatafuta wanafunzi 708
Na Amiri Kilagalila, Njombe
Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Olesendeka ametoa muda wa mwezi mmoja kwa watendaji,maafisa elimu kata pamoja na viongozi wa mitaa na vijiji kuhakikisha wanafunzi 708 ambao hawajajiunga na masomo ya kidato cha kwanza,vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Sendeka ameonyesha Kukasirishwa na kitendo cha wanafunzi hao 708 waliofaulu kidato cha kwanza na kushindwa kujiunga na masomo.
Ametoa agizo hilo katika kikao cha tathimini ya elimu...
Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Olesendeka ametoa muda wa mwezi mmoja kwa watendaji,maafisa elimu kata pamoja na viongozi wa mitaa na vijiji kuhakikisha wanafunzi 708 ambao hawajajiunga na masomo ya kidato cha kwanza,vinginevyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Sendeka ameonyesha Kukasirishwa na kitendo cha wanafunzi hao 708 waliofaulu kidato cha kwanza na kushindwa kujiunga na masomo.
Ametoa agizo hilo katika kikao cha tathimini ya elimu...
10 years ago
Bongo519 Nov
Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’
Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi. Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi. Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi na kushare nyaraka mbalimbali. Mtandao huo ambao […]
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
‘Watendeeni haki mahujaji’
TAASISI za kusafirisha Mahujaji nchini, zimetakiwa kuwa na umoja na ushirikiano ili kuwatendea haki Waislamu wanaokwenda katika ibada ya hijjah Makha, nchini Saudi Arabia. Akizungumza jana, Mwenyekiti wa Taasisi ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania