SHUHUDIA KIJANA HUYU ALIVYONUSURIKA KUUAWA KISA WIZI WA PIKIPIKI
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/2QnKqCSHrMo/default.jpg)
KIJANA ANUSURIKA KUUAWA KISA WIZI MAMA AINGILIA KATI KUMUOKOA KIFO
Kijana mmoja mkazi wa Kigogo Sukita jijini Dar es Salam ameambulia kipigo kizito kutoka kwa wananchi wenye hasira kali na kufikia hatua ya kutaka kumchoma moto kutokana na kitendo cha kumuibia simu na shilingi elfu therasini mwanadada ambaye naye ni mkazi wa eneo hilo.
Kutokana na kipondo cha aina yake alichokuwa akipewa na wananchi hao wenye hasira kali walionekana kumpania kutokana na vitendo vyake vya wizi wa mara kwa mara na kutokana na kipigi hicho kilichomfanya atapakae damu mwilimzima,...
10 years ago
GPL27 Aug
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBs5nyM3SBnDOoYWrevrMB3mOjoubYwy0-PCLzYjrt-5h3qUz1BEOoOTgovDeocv4e3N8raY3QUoCVWoudOmX4Of/1.jpg?width=650)
ANUSURIKA KUUAWA KATIKA WIZI WA PIKIPIKI MAGOMENI, DAR
Mtuhumiwa wa wizi akiwa amechakazwa kwa kipigo.  Moja ya matofali yaliyotumika kumshambulia mtuhumiwa. …
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XP1HwsPGdbfnNl1kvzZHEjR-gsHEfOGms0l5z86plFSirYL*V1PUZl*V4yCwDYjUQQ2*uEL27Awvc86OQjjJHgwOCC1Cq99Q/10.jpg?width=650)
A-Z ALI KIBA ALIVYONUSURIKA KUUAWA!
Musa Mateja Hatari sana! Mkali wa Ngoma ya Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amenusurika kifo baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na majambazi ambao walimteka mlinzi na ndugu yake mmoja kisha kuwashushia kibano kikali huku wakiwaamuru wawapeleke kwenye chumba anacholala msanii huyo, Ijumaa Wikienda lina A-Z. Mlango nyumbani kwa Alikiba ukionekana jinsi ulivyovunjwa na majambazi na kuiba vitu. Akizungumza...
9 years ago
Bongo502 Oct
G-Lover asimulia alivyonusurika kuuawa Zanzibar
DJ na mmiliki wa studio za G Records, G-Lover amenusurika kuuawa baada ya kuvamiwa na kupigwa na watu wasiojulikana visiwani Zanzibar anakoishi. Kupitia ukurasa wake Facebook DJ huyo ameandika: Warning warning…ndugu zangu wa Zanzibar tunaoishi hapa watanzania wenzangu kwa ujumla na wageni mnaokuja huku naomba tuwe makini sana sana na hali ya usalama wetu ilivyo […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWS1c2QXFmYSlSnVTjrmG8Fh8P-tWEfPaKMwgsPvIS3hVRV66YKZqhw9sPFnFkWEdgbtJCtGyXnUioUKyMg9NpJF/bosi.jpg?width=650)
BOSI ALIVYONUSURIKA KUUAWA KWA RISASI
Na Mwandishi Wetu, Kahama INASIKITISHA! Watu wasiojulikana wamemshambulia kwa risasi na mapanga Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Geita, Juma Kimisha na msafara wake na kusababisha kiongozi huyo kukimbizwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza ili kuokoa uhai wake. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Geita, Juma Kimisha akiwa Hospitali ya Wilaya ya Kahama Kitengo cha Bima. Akizungumza kwa shida katika...
11 years ago
GPLANUSURIKA KUUAWA, KISA UBAKAJI WA DENTI!
Kijana Said (30) akipatiwa maji baada ya kupewa kichapo kikali kutoka kwa wananchi. Na Joseph Ngilisho, Arusha
MWANAUME anayedaiwa kuwa ni kinara wa ubakaji jijini hapa, Said (30) mkazi wa Mbauda, amenusurika kifo kwa kipigo kutoka kwa raia wenye hasira baada ya kunaswa akitoka kumbaka denti wa kidato cha pili hadi kupoteza fahamu. Said anayetajwa kuwa ‘mwenyekiti’ wa kundi linalojihusisha na ubakaji, alishambuliwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi67J8gaYF-YxVwR*4d-v28tg*mdT3-APknsJeGz-MyZeLA1Nknw4SYTuLEVMJ4cm6F2k7cwrwXuUBQvbNU3PqHTY/IMG_20150726_190248.jpg)
MGANGA ANUSURIKA KUUAWA KISA, FUMANIZI
Mganga huyo baada ya kufumaniwa. Na Victor Bariety, Geita MWANAUME mmoja mkazi wa mtaa wa Mkoani kata mpya ya Bombambili wilayani Geita, mkoani Geita ambaye ni mganga wa kutibu mifupa ya binadamu iliyovunjika, amenusurika kifo baada ya kufumaniwa akidaiwa kufanya mapenzi na mke wa mtu.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1MQbCjt
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhyVOgECoTu2gmg5copGMdb6iqdRVq9PjZIWD-zQJueOUOKvRhJF2o-jbh6GFcySiHk5C2gBReB0bJ2VGoctxamD/FRONTUWAZI.gif?width=650)
HUYU NDIYE ANAYEDAIWA KUUAWA MA MTOTO WA WAZIRI
Deogratius Mongela na Chande Abdallah
INASIKITISHA! Mmiliki wa Shule ya Msingi na Awali (International) ya Mount Zion iliyopo Bahari Beach, Dar, Annah Mizighi Mwambili, 47, (pichani) ameuawa na mwili wake kutupwa ndani ya shule yake baada ya kupotea kwa zaidi ya miezi sita huku mtoto wa aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Tatu Ntimizi, Said Ntimizi akidaiwa kuwa mmoja kati ya watuhumiwa wa mauaji...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania