Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUYU NDIYE ALIYEMPA ZARI JEURI YA FEDHA

  Kibosile  Ivan Ssemwanga akiwa na  ‘Zari’. Makala : Hashim Aziz na mitandao Umaarufu wa msanii wa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ALIYEMPA TUZO 6 DIAMOND PLATNUMZ HUYU HAPA

Prodyuza aliyempatia tuzo sita za Kili staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz ' kwa kutengeneza wimbo wa Number One, Sheddy Clever akiwa ndani ya Global TV Online. Kujua zaidi alichoongea, usikose kuangalia Global TV Online Jumatatu ijayo!

 

10 years ago

Vijimambo

Tuache ushabiki Jamani Huyu Dada Tumpe Hongera yake... Ubunifu Wake Nimeupenda..Mitandao ya Kijamii leo ni Zari Zari


Zari "Watanzania Wamenikaribisha kama ni mtu wao na sasa mimi ni wao hivyo ni yote ni heri kabisa"
Zari Tlale aka The Bosslady amesema upendo anaoupata baada ya kuanzisha uhusiano na Diamond Platnumz, umemfanya agundue kuwa watanzania wamemkubali kama mtu wao.
Akiongea na Clouds FM/TV asubuhi hii, Zari amesema tangu ameanza kuja Tanzania amekuwa akipokea upendo zaidi kutoka kwa watanzania kiasi ambacho kimemfanya ajisikie kama yupo kwao.“Siwezi hata kulalamika, watu wa Tanzania ni wakarimu...

 

10 years ago

Mtanzania

Jeuri ya fedha Yanga

yangMWALI IBRAHIM NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

WAWAKILISHI pekee wa Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho, timu ya Yanga, imeonyesha jeuri ya fedha baada ya kuamua kufunga hoteli watakayofikia mjini Bulawayo kwa siku mbili ili kukwepa kufanyiwa hujuma na wenyeji wao hao.

Uongozi wa klabu hiyo ambao haukutaka kuweka wazi jina la hoteli hiyo, umepanga kutokuruhusu mteja mwingine yeyote kuingia hotelini hapo, zaidi ya wachezaji na benchi la ufundi pekee wakihudumiwa na wahudumu wa...

 

11 years ago

GPL

RAY AONESHA JEURI YA FEDHA

Na Waandishi Wetu
NYOTA wa filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ anadaiwa kumpangishia nyumba nzima mpenzi wake ambaye pia anasemekana ni mkewe mtarajiwa, Chuchu Hans, Amani lina picha kamili. Vincent Kigosi ‘Ray’ akiwa na mkewe mtarajiwa, Chuchu Hans. Kwa mujibu wa sosi aliye karibu na mastaa hao (jina tunalo), Ray amemwaga shilingi milioni 3,840,000 kwa ajili ya kodi ya nyumba hiyo iliyopo...

 

11 years ago

GPL

MASTAA WAONESHANA JEURI YA FEDHA

Stori: Mayasa Mariwata na Hamida Hassan
FEDHA inaongea! Mastaa wanaowakilisha Klabu ya Bongo Movie Unity na Shirikisho la Filamu Nchini (TAFF) wameonesha jeuri ya fedha kwa kuwatunza maharusi, mwigizaji Vanita Omary na mumewe Paul Mtenda. Mastaa wa Bongo Movies wakionyesha jeuri ya fedha katika harusi ya msanii Vanita Omary na mumewe Paul Mtenda. Sherehe hiyo ilifanyika Jumamosi iliyopita katika Ukumbi wa Mwika, Sinza jijini...

 

11 years ago

GPL

Yanga yaonyesha jeuri ya fedha

Kikosi cha Yanga. Na Khadija Mngwai
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umeonyesha jeuri ya fedha kwa wachezaji wake kufuatia kuwaahidi donge nono kila mechi kati ya walizobakiza ili kuhakikisha wanatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Kabla ya mechi za jana Jumapili, Yanga ilikuwa katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 46, nyuma ya Azam iliyokuwa na pointi 50. Kikizungumza na Championi Jumatatu, chanzo cha...

 

11 years ago

GPL

WEMA JEURI YA FEDHA KWISHA!

Wema Isaac Sepetu. Stori: Oscar Ndauka na Richard Manyota
NI kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha? Kama ni kweli, basi ile jeuri ya fedha ya Miss Tanzania mwaka 2006 ambaye pia hufanya vyema kwenye gemu la sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu inadaiwa imefikia nchani, Risasi Mchanganyiko limepashwa ‘ei tu zedi’.…

 

9 years ago

Mwananchi

Huyu ndiye Mwalimu Kassim Majaliwa

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tamissemi (Elimu), Kassim Majaliwa ndiye Waziri Mkuu mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ataapishwa leo mjini Dodoma kuwa Waziri Mkuu wa 11 wa Tanzania tangu uhuru.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani