ALIYEMPA TUZO 6 DIAMOND PLATNUMZ HUYU HAPA
Prodyuza aliyempatia tuzo sita za Kili staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz ' kwa kutengeneza wimbo wa Number One, Sheddy Clever akiwa ndani ya Global TV Online. Kujua zaidi alichoongea, usikose kuangalia Global TV Online Jumatatu ijayo!
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Omm4UhJ_Z-g/VX5f7VyjheI/AAAAAAAAvvU/qbsmZFcsErk/s72-c/DiamondPlatinumz.jpg)
Kilicho Mponza DIAMOND PLATNUMZ Tuzo za Kill Music Hichi Hapa, Wema na Jokate Watambiana Mabwana, Vanessa na Jux Wapakatana
![](http://1.bp.blogspot.com/-Omm4UhJ_Z-g/VX5f7VyjheI/AAAAAAAAvvU/qbsmZFcsErk/s640/DiamondPlatinumz.jpg)
Tuzo za Muziki za Kili 2015, Jumamosi ya wiki iliyopita zilitimua vumbi kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Mwenge jijini Dar es Salaam ambapo maelfu ya Watanzania wanaopenda burudani walikuwa wakifuatilia mwenendo mzima wa tuzo hizo, ambapo msanii Ali Kiba aling’ara baada ya kunyakua tuzo tano na kumuacha mbali hasimu wake mkubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ aliyeambulia tuzo mbili tu.Mpango mzima ulianza, mishale ya saa tatu za usiku ambapo wasanii pamoja na wadau mbalimbali walijumuika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wFSeyrSyaR0ihFz0ON1TsHZLVm7zVXrXNefg9aiFsivRqYPoOCkbjNP1DcGNxLmfFvJ*MoS8Y*2UNZ5LDO4W-ze/zari.jpg)
HUYU NDIYE ALIYEMPA ZARI JEURI YA FEDHA
 Kibosile Ivan Ssemwanga akiwa na  ‘Zari’. Makala : Hashim Aziz na mitandao Umaarufu wa msanii wa…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania