Weusi kuuza album yao mtandaoni kukwepa maharamia
Licha ya kukithiri kwa tatizo la wizi wa kazi za sanaa Tanzania, kundi la muziki la Weusi lina mpango wa kuuza album yao kwa njia ya watu kudownload mtandaoni. Msemaji wa kundi hilo, rapper Nikki Wa Pili amesema kuwa wanaamini kwamba hiyo ni njia itakayowapunguza nguvu maharamia wa kazi za wasanii. “Plan yetu ni kuweka […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/9nG191KtIdjZ*D3yxaVUkHTbTKqa9YxtCv*gGY7mePg8Da4jyGoALVs4RfBZWPXRbmT3pcSEq5g-Qoxojwb*Vkxx8fNTo3Fk/ERICK.jpg?width=650)
STEPS ISHU SIYO KUUZA BUKUBUKU, TUTAWAMALIZAJE MAHARAMIA?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6b9laouqld8/XnC8KlXDBZI/AAAAAAALkGU/tFSww_qmYawjOHg1_OnbkA5o0f-fMePUQCLcBGAsYHQ/s72-c/1ae65a55-94fe-4493-a214-4bb2583c4051.jpg)
WALAZIMIKA KUHAMA MAKAZI YAO KUKWEPA ADHA YA MAFURIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-6b9laouqld8/XnC8KlXDBZI/AAAAAAALkGU/tFSww_qmYawjOHg1_OnbkA5o0f-fMePUQCLcBGAsYHQ/s640/1ae65a55-94fe-4493-a214-4bb2583c4051.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XDM9UiQK3iM/XnC8KiD395I/AAAAAAALkGQ/x7T5zYm9odwKgy5OII6q3lRXQuh8mA9OwCLcBGAsYHQ/s640/2b2707c1-5f87-4e52-bcfc-bf2fa3c79313.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YU5o-UI9JpI/XnC8KXX19_I/AAAAAAALkGM/XRKJ_yKCFbYbv77gWSFv10FVPHgE8dUUgCLcBGAsYHQ/s640/858ceee9-9309-472b-bfd6-d7b1a2ae6d0c.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-chAZ7HpX8uc/XnC8LsAaeXI/AAAAAAALkGY/q_dQByrL3Jo1PNwe-mXHQzkaFyLcz8RBACLcBGAsYHQ/s640/ed46afd9-f099-4ed2-a876-7d9c8f1ce2fc.jpg)
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Mastaa wa muziki walivyoongoza kuuza mitandaoni >> Alikiba, Christian Bella, Vee Money na Weusi..
Nafasi ya muziki kwa sasa imekua kubwa sana kiasi kwamba wasanii wetu wa Tanzania mbali na kutotoa album tena lakini wamekua na nafasi ya kuuza singo moja moja, mitandaoni na huko ndio zinakusanywa pesa nyingine pia na matunda ya muziki wao. Sasa tovuti inayouza ngoma za wasanii mitandaoni, Mkito.com wametupa list kamili ya wasanii waliiongoza […]
The post Mastaa wa muziki walivyoongoza kuuza mitandaoni >> Alikiba, Christian Bella, Vee Money na Weusi.. appeared first on...
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Mwanamke anayedaiwa kuuza mtoto mtandaoni ashtakiwa
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Ben Pol: Aeleza sababu za kuuza albamu mtandaoni
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/jNUN_n75mfI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Ej0P31VEbKk/default.jpg)
9 years ago
Bongo526 Nov
Album ya Adele ‘25’ kuuza nakala milioni 3 Marekani pekee kwenye wiki ya kwanza
![600](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/6001-300x194.jpg)
Album mpya ya Adele, 25 inatarajiwa kuuza nakala milioni 3 nchini Marekani katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa kampuni ya Nielsen Music.
Hadi November 24 album hiyo ilikuwa imeuza kopi milioni 2.8. Miongoni mwa hizo, milioni 1.45 zimeuzwa mtandaoni kwenye iTunes.
25 imeshazidi hadi rekodi ya mauzo ya album kwa wiki mbili tangu kampuni ya Nielsen ilivyoanza kufuatilia mauzo ya album mwaka 1991.
Rekodi ya awali ilishikiliwa na album ya *NSYNC, No Strings Attached iliyouza kopi 2,416,000...
9 years ago
Bongo528 Nov
Navy Kenzo waeleza watakavyouza album yao ‘Above In A Minute’
![Navykenzo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/Navykenzo-300x194.jpg)
Kundi la Navy Kenzo limesema kuwa album yao ya kwanza iitwayo ‘Above In A Minute’ tayari imekamilika na wanatarajia kuitoa mwanzoni mwa mwaka ujao 2015.
Wakizungumza kupitia XXL ya Clouds FM, waimbaji wa kundi hilo Aika na Nahreel wamesema kuwa, watauza album yao katika mfumo wa Cd pamoja na online, lakini utaratibu utakaotumika utakuwa ni wa kuweka oda pekee.
“Ila itakuwa ni oda tu, hata kama ni online unafanya oda tu ukishalipia siku ikitoka unapewa ya kwako baada ya hapo itakuwa ni ngumu...