AHENYESHWA MAHAKAMANI KWA KUMSULUBU MTOTO
![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXUR5ZkhbJth1Ysh7*u6-kIcTNIP-nMOsxqjUOAUh6r34QPtEEE2*rhb6Jf0N*GAz8xrmvqORnfcGhdjn3x79Opd/KAFANYAJE.jpg)
Na Haruni Sanchawa TEDDY Omary John (22), mkazi wa Tegeta jijini Dar amejikuta akihenyeshwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kwa tuhuma za kumchoma na kumjeruhi mtoto Magdalena Elisha (10) na kitu chenye ncha kali mapajani na kumsababishia maumivu makali. Teddy Omary John (22), mkazi wa Tegeta jijini Dar anayetuhumiwa kumsulubu mtoto, Magdalena Elisha. Imedaiwa kuwa, mtuhumiwa ambaye alikuwa akiishi na binti huyo kama...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsul9s2kopcfsVpmUshDeOSE*NyzvttGjpXAA0ujMR-*vktuZHGTPT9r8DjN6mwgW7*Lu3GZMRlohgB2gyDb3-Hmo/baba.jpg)
MAMA, BABA WADAIWA KUMSULUBU MTOTO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/po*b5pjX*ekiqSJEfnocYCTomDhilTnedjZQqS*UI2CgTyjbPkEamkQY1IVJrPJqZhZi7gPY68VBeGES41IojcouYx4nlCCo/kibanoakitoshi.jpg?width=650)
MAMA ADAIWA KUMSULUBU MTOTO, APEWA KIBANO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MvB8hQyrt3D7wRUMiiqbc2CUMpdYpHvAM4eUW4W8N4ag0*UOtCoLMordDddBoCC2uN2ercJ152ajrnrt0tq-DfJ/kigogo.jpg?width=650)
KIGOGO WA UNGA AHENYESHWA POLISI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632pgHkB03r1q0uJhpVLjkHXdt8iaEZDxWDTD9qsoc*wq4UwWj-Yg6hMtvw6d2M67qLwocWup96-QMPdXeugIrfly/BACK.jpg?width=650)
ALIYEMTESA HAUSIGELI SIKU 730 AHENYESHWA!
10 years ago
CloudsFM16 Jan
MBUNGE MACHEMLI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUTOMLIPA MSHAHARA MFANYAKAZI WAKE KWA MIAKA MITATU.
Machemuli amefunguliwa shauri la madai katika mahakama hiyo na kupewa nakala ya kuitwa yenye Na MCA/MZ/UK/524/2014 katika mahakama hiyo baada ya kufunguliwa kesi na Rehema Hamis (Mhudumu) kwa madai ya kutomlipa mshahara wake kwa miezi 35 ikiwa ni kiasi cha Sh milioni 3,680,000 alizotakiwa...
11 years ago
Habarileo24 Jul
Sita mahakamani kwa ugaidi
WATU sita waliokamatwa na polisi juzi, wakituhumiwa kuhusika na ulipuaji wa mabomu katika sehemu mbalimbali jijini Arusha, wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya ugaidi na kufadhili ulipuaji mabomu.
9 years ago
Habarileo18 Nov
Hakimu mahakamani kwa rushwa
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Shinyanga imemfikisha mahakamani Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Isungang’holo iliyopo kijiji cha Gimagi kata ya Shaghila wilaya ya Kishapu kwa mashitaka ya kuomba na kupokea rushwa.
10 years ago
Mwananchi08 Jan
MAHAKAMANI KWA BIASHARA HARAMU.
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Tanzania: 12 mahakamani kwa ukeketaji