Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AHENYESHWA MAHAKAMANI KWA KUMSULUBU MTOTO

Na Haruni Sanchawa
TEDDY Omary John (22), mkazi wa Tegeta jijini Dar amejikuta akihenyeshwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kwa tuhuma za kumchoma na kumjeruhi mtoto Magdalena Elisha (10) na kitu chenye ncha kali mapajani na kumsababishia maumivu makali. Teddy Omary John (22), mkazi wa Tegeta jijini Dar anayetuhumiwa kumsulubu mtoto, Magdalena Elisha. Imedaiwa kuwa, mtuhumiwa ambaye alikuwa akiishi na binti huyo kama...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMA, BABA WADAIWA KUMSULUBU MTOTO!

Stori:  Chande Abdallah, Deogratius Mongela na Shani Ramadhani MATUKIO ya vitendo vya ukatili na unyanyasaji kwa watoto yamekuwa yakiendelea kufanyika kila siku licha ya kukemewa mara kwa mara, safari hii, baba na mama wakidaiwa kumsulubu mtoto wao.
Katika hali ya kuonesha kwamba vitendo hivyo  bado vinaendelea kwa kasi, familia moja iliyopo Kunduchi jijini Dar imeshikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za ukatili dhidi...

 

10 years ago

GPL

MAMA ADAIWA KUMSULUBU MTOTO, APEWA KIBANO

Na  Gladness Mallya na Shani Ramadhani
HII ni too much! Jalada namba KW/RB/7565/2014-SHAMBULIO LA KUDHURU MWILI lililopo kwenye Kituo cha Polisi cha Kawe, Dar, linamhusu mama aliyetajwa kwa jina moja la Teddy, mkazi wa Tegeta kwa madai ya kumtumikisha na kumtesa mtoto Magdalena Elisha (10) na kumsababishia majeraha na makovu ya vidonda sehemu mbalimbali mwilini. Mama anayedaiwa kumsulubu mtoto huyo akilia baada ya kutiwa...

 

10 years ago

GPL

KIGOGO WA UNGA AHENYESHWA POLISI

Stori: Makongoro Oging’ na  Haruni Sanchawa SIKU chache baada ya Jeshi la Polisi Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania kumkamata mfanyabiashara bilionea Mharami Mohamed Abdallah ‘Chonji’ mkazi wa Magomeni, Mtaa wa Kondoa jijini Dar akidaiwa kukutwa na unga, jeshi hilo linamhenyesha anayedaiwa kigogo mwingine wa unga ambaye ni mwanamke. Christina Naphtali Kigaye mkazi wa Mikocheni...

 

11 years ago

GPL

ALIYEMTESA HAUSIGELI SIKU 730 AHENYESHWA!

stori: Haruni Sanchawa na Deogratius Mongela Mwanamke Yasinta Rwechengura, mkazi wa Boko wilayani Kinondoni, Dar anayekabiliwa na kesi ya kutuhumiwa kumtesa hausigeli wake kwa miaka miwili (siku 730), amejikuta akihenyeshwa mahakamani.Hayo yamemkuta juzi alipofikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Wilaya ya Kinondoni kujibu tuhuma zinazomkabili ambapo alikuwa akipokea amri kutoka kwa askari na kumfanya kukosa raha. ...

 

10 years ago

CloudsFM

MBUNGE MACHEMLI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA KUTOMLIPA MSHAHARA MFANYAKAZI WAKE KWA MIAKA MITATU.

MBUNGE wa Jimbo la Ukerewe, Salvatory Machemuli (Chadema), amefikishwa katika Mahakama ya Kazi akidaiwa mshahara wa miaka mitatu na mhudumu wa Ofisi yake ya Mbunge wa Jimbo la Ukerewe jijini Mwanza.
Machemuli amefunguliwa shauri la madai katika mahakama hiyo na kupewa nakala ya kuitwa yenye Na MCA/MZ/UK/524/2014 katika mahakama hiyo baada ya kufunguliwa kesi na Rehema Hamis (Mhudumu) kwa madai ya kutomlipa mshahara wake kwa miezi 35 ikiwa ni kiasi cha Sh milioni 3,680,000 alizotakiwa...

 

11 years ago

Habarileo

Sita mahakamani kwa ugaidi

WATU sita waliokamatwa na polisi juzi, wakituhumiwa kuhusika na ulipuaji wa mabomu katika sehemu mbalimbali jijini Arusha, wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka ya ugaidi na kufadhili ulipuaji mabomu.

 

9 years ago

Habarileo

Hakimu mahakamani kwa rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Shinyanga imemfikisha mahakamani Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Isungang’holo iliyopo kijiji cha Gimagi kata ya Shaghila wilaya ya Kishapu kwa mashitaka ya kuomba na kupokea rushwa.

 

10 years ago

Mwananchi

MAHAKAMANI KWA BIASHARA HARAMU.

Dar es Salaam.  Watu 22 wamefikishwa katika  Mahakama ya Jiji Sokoine Drive wakiwemo wanawake 9 kwa tuhuma mbalimbali zikiwemo za kufanya biashara ya kuuza miili yao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania: 12 mahakamani kwa ukeketaji

Wanawake 12 wanaotuhumiwa kuwafanyia ukeketaji wasichana 21, wamefikishwa mahakamani wilayani Same, Kilimanjaro

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani