KIGOGO WA UNGA AHENYESHWA POLISI
![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MvB8hQyrt3D7wRUMiiqbc2CUMpdYpHvAM4eUW4W8N4ag0*UOtCoLMordDddBoCC2uN2ercJ152ajrnrt0tq-DfJ/kigogo.jpg?width=650)
Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa SIKU chache baada ya Jeshi la Polisi Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania kumkamata mfanyabiashara bilionea Mharami Mohamed Abdallah ‘Chonji’ mkazi wa Magomeni, Mtaa wa Kondoa jijini Dar akidaiwa kukutwa na unga, jeshi hilo linamhenyesha anayedaiwa kigogo mwingine wa unga ambaye ni mwanamke. Christina Naphtali Kigaye mkazi wa Mikocheni...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WLDrVkQ1qFVDt3zClubX4ZZc4lYRLC-QFZv9M4iRbFe1XmAR9GFOGW*mZ0I5HuCn*C12AtJL30y9lcFvTBvkPiQyUwpzHm0r/TINYO.jpg?width=650)
KIGOGO WA UNGA JELA MIAKA 20, FAINI SHILINGI BILIONI 15
9 years ago
Vijimambo02 Sep
Kigogo wa Chadema ahojiwa polisi saa tano.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Komu-2Sept2015.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro limemshikilia na kumhoji kwa zaidi ya saa tano mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Vijijini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa chama hicho, Anthony Komu (pichani), kwa madai ya kumtisha kwa bastola Katibu wa chama hicho mkoani hapa, Basil Lema.
Hata hivyo, baada ya kuhojiwa jeshi hilo lilimwachia huru Komu na kisha kulifuta jalada la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnVvgbjB9CsruVh-KDufv1lBG9rYylQElyW5tyZIY7S-SVKMSFcXTWxK3V*kGI6B03X-iHLHOdRSBTdjd-VssJX-/2.jpg)
MADAI YA KUBEBA UNGA: RAY C AJISALIMISHA POLISI
10 years ago
Habarileo27 Jan
Kigogo BoT kizimbani kwa jaribio kuua polisi
MSHAURI wa masuala ya ulinzi katika Benki Kuu (BoT), Shaban Ndosi (39) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua ofisa wa Polisi.
11 years ago
Mwananchi12 Jan
Waumini Kigogo waswali kwa awamu chini ya ulinzi wa polisi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXUR5ZkhbJth1Ysh7*u6-kIcTNIP-nMOsxqjUOAUh6r34QPtEEE2*rhb6Jf0N*GAz8xrmvqORnfcGhdjn3x79Opd/KAFANYAJE.jpg)
AHENYESHWA MAHAKAMANI KWA KUMSULUBU MTOTO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632pgHkB03r1q0uJhpVLjkHXdt8iaEZDxWDTD9qsoc*wq4UwWj-Yg6hMtvw6d2M67qLwocWup96-QMPdXeugIrfly/BACK.jpg?width=650)
ALIYEMTESA HAUSIGELI SIKU 730 AHENYESHWA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTYIRj17r-pkgs69p3EYzIukSbbgFRM8yVcYLoe42uTujiS*WsMCQ14Kzk3vZuUne7ccW0Lb46MBb6XNCpUywQ-/unga.jpg?width=750)
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Kigogo CCM auawa
MWENYEKITI wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mwanza, Clement Mabina, ameuawa kinyama na wananchi wenye hasira baada ya kumuua kwa risasi mtoto mdogo anayekadiriwa kuwa na miaka...