Waumini Kigogo waswali kwa awamu chini ya ulinzi wa polisi
Waumini wa dini ya Kiislamu Msikiti wa Islah Kigogo Dar es Salaam, juzi walilazimika kuswali kwa awamu mbili tofauti huku wakiwa chini ya ulinzi wa polisi kutokana na kutokuelewana kwa viongozi wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Kwa nini Katiba itayarishwe chini ya ulinzi?
KITU chochote kinachotayarishwa kwa manufaa ya jamii huku jamii husika ikiamini kwamba kitu hicho ni kwa manufaa yake, kawaida huwa hakitiliwi shaka, hakuna awezaye kuihofia jamii kuhusu matayarisho hayo, sababu...
10 years ago
CloudsFM09 Oct
WANAFUNZI NJOMBE WAWEKWA CHINI YA ULINZI KWA TUHUMA ZA KUCHOMA SHULE
Kamishna wa Elimu Nchini Ameifunga Shule ya Sekondari ya Njombe (NJOSS) Kwa Muda wa Mwezi Mmoja Kutokana na Vurugu Zilizotokea Katika Shule Hiyo na Kusababisha Hasara ya Zaidi ya Shilingi Milioni Moja.
Akifunga Shule Hiyo Kwa niaba ya Kamishna wa Elimu Nchini, Afisa Elimu Shule za Sekondari Mkoani Njombe Said Nyasiro Amesema Wameifunga Shule Hiyo Kutokana Uharibifu Uliofanywa na Wanafunzi Ikiwemo Kuchoma Jengo la Bweni na Karakana Pamoja Kupisha Uchunguzi Juu ya Tukio Hilo.
Aidha Afisa Elimu...
10 years ago
VijimamboWANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI NJOMBE CHINI YA ULINZI KWA MBINU YA KULIPUA MBWENI
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s72-c/aaa.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s640/aaa.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_TqgsZUVxA/VdOd8pH2pxI/AAAAAAAHyDo/ZHeA-B7qXco/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Polisi wakiri kujeruhi waumini kwa bomu
JESHI la Polisi limekiri kuhusika na tukio la bomu la machozi lililowajeruhi waumini sita waliokuwa wakitoka kwenye ibada ya mkesha wa mwaka mpya katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Karoli Lwanga,...
10 years ago
Habarileo27 Jan
Kigogo BoT kizimbani kwa jaribio kuua polisi
MSHAURI wa masuala ya ulinzi katika Benki Kuu (BoT), Shaban Ndosi (39) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua ofisa wa Polisi.
11 years ago
Michuzi13 Feb
NEWS ALERT:MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA IRINGA AWEKWA CHINI YA ULINZI KWA KUDAIWA KUPIGA PICHA MAHAKAMANI.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
Picha na Francis Godwin-Iringa.
10 years ago
Mtanzania04 Apr
Pengo asali chini ya ulinzi
Na Waandishi Wetu
KATIKA hali isiyo ya kawaida, Polisi wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakiwa na mbwa nane, waliweka doria katika Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam wakati wa ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika jana.
Ibada hiyo iliyoanza saa tisa jioni iliongozwa na Paroko wa Kanisa hilo, Audax Kaasa na Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo aliyetarajiwa kuiendesha kama ratiba ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ilivyoeleza, lakini hakufanya hivyo bali alisali kama muumini wa...
11 years ago
GPLTambwe chini ya ulinzi mkali Simba