Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigogo BoT kizimbani kwa jaribio kuua polisi

MSHAURI wa masuala ya ulinzi katika Benki Kuu (BoT), Shaban Ndosi (39) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua ofisa wa Polisi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Watanzania kwenda jela SA kwa jaribio la kuua

Mahakama nchini Afrika Kusini imewahukumu kwenda jela miaka minane watu wanne wakiwamo Watanzania wawili kwa kosa la kutaka kumuua aliyekuwa mkuu wa majeshi wa Rwanda, Faustin Nyamwasa.

 

9 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa mashitaka ya kuua mfanyabiashara

WATU Wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa mifugo mjini Maswa, Robert Dwese (43).

 

9 years ago

Mtanzania

Kigogo BoT aachiwa huru

Pg 2NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru aliyekuwa Naibu Mkurugenzi wa Mifumo na Huduma wa
Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Simon Jengo, aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la matumizi mabaya ya ofisi kwa kununua mashine 26 za kuharibu noti.

Kesi hiyo ilianza kusikilizwa mahakamani hapo Januari 30, 2012, chini ya Hakimu Ritha Tarimo, Wakili wa Serikali Fredrick Manyanda, aliyekuwa akisaidiwa na Ben Lincoln pamoja na Shadrack Kimaro.
Katika shtaka hilo, Jengo...

 

10 years ago

Michuzi

Maofisa wanane wa Benki Kuu Tanzania (BOT) kizimbani kwa mashitaka 14 ya kufoji vyeti vya kidato cha nne

Habari na Mwene Said wa Globu ya Jamii  Maofisa wanane wa Benki Kuu Tanzania (BOT) wamekutwa na kesi ya kujibu na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salam, dhidi ya mashitaka 14 ya kughushi na kuwasilisha vyeti vya kidato cha nne vilivyoghushiwa.  Uamuzi huo ulitolewa na Hakimu Mkazi Nyigulila Mwaseba baada ya upande wa Jamhuri kufunga ushahidi wao, dhidi ya washtakiwa Justina Mungai, Christina Ntemi, Siamini Kombakono, Janeth Mahengena Beatha Masawe, Jacquiline Juma, Philimina...

 

11 years ago

Mwananchi

Kigogo wa zamani BOT atupiwa vyombo nje

>Mkurugenzi wa zamani wa Fedha wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Elisa Issangya amejikuta akitupiwa vyombo vyake nje na Kampuni ya Udalali ya Mwafrika kwa kile kilichoelezwa kutakiwa kuondoka kwenye nyumba aliyokuwa akiishi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Madiwani Iramba wataka Jeshi la Polisi kuwasaka waliofanya jaribio la kumuua DED kwa bomu

DSC03499

Katibu wa madiwani wa CCM wilaya ya Iramba na diwani wa kata ya Urughu, Simon Tyosela, akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamko lao la kulaani vikali jaribio la kutaka kumuawa Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Iramba, Halima Mpita Januari 2 mwaka huu saa 1.15 asubui akiwa nyumbani kwake.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

MADIWANI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Iramba mkoa wa Singida,wamelaani vikali jaribio la kutaka kumuawa kwa bomu mkurugenzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Waumini Kigogo waswali kwa awamu chini ya ulinzi wa polisi

Waumini wa dini ya Kiislamu Msikiti wa Islah Kigogo Dar es Salaam, juzi walilazimika kuswali kwa awamu mbili tofauti huku wakiwa chini ya ulinzi wa polisi kutokana na kutokuelewana kwa viongozi wao.

 

10 years ago

Mtanzania

Manji ampandisha kizimbani kigogo Simba

NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM

UPINZANI wa watani wa jadi, Simba na Yanga umehamia mahakamani baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji, kumpandisha kizimbani Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Musleh Al Rawah, akidaiwa kumpiga mwanaye.

Mjumbe huyo wa Simba alipandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Frank Moshi, alisomewa shtaka la kumjeruhi mtoto wa Manji, Mehboob Manji.

Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali, Genis Tesha, alidai kuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yanasa wanne kwa tuhuma za kuua kwa ujira

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kagera, Henry MwaibambePOLISI mkoani Kagera, inashikilia watu wanne kwa tuhuma za kukodiwa kufanya mauaji yanayohusisha imani za kishirikina.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani