Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigogo wa zamani BOT atupiwa vyombo nje

>Mkurugenzi wa zamani wa Fedha wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Elisa Issangya amejikuta akitupiwa vyombo vyake nje na Kampuni ya Udalali ya Mwafrika kwa kile kilichoelezwa kutakiwa kuondoka kwenye nyumba aliyokuwa akiishi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi BoT atupiwa vyombo nje

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Fedha wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Elisa Issangya, ameilalamikia benki hiyo kwa kumtolea vyombo vyake nje katika nyumba aliyokuwa akiishi inayomilikiwa na benki hiyo. Akizungumza na waandishi...

 

10 years ago

GPL

MFANYABIASHARA ATUPIWA VYOMBO NJE

Na Haruni Sanchawa Mfanyabiashara mmoja jijini Dar es Salaam, Mwita Chacha alivunjiwa geti kisha kutupiwa vyombo vyake nje baada ya kuvamiwa hivi karibuni na watu waliodaiwa kuwa ni kutoka saccos moja ya jijini Dar. Akizungumza na gazeti hili, Chacha alidai kuwa tukio hilo lilitokea katika maeneo ya Pugu Kwalala, Kata ya Pugu, Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam wakati akiwa mbali na nyumbani kwake.  Soma zaidi hapa...

 

9 years ago

Mtanzania

Kigogo BoT aachiwa huru

Pg 2NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru aliyekuwa Naibu Mkurugenzi wa Mifumo na Huduma wa
Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Simon Jengo, aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la matumizi mabaya ya ofisi kwa kununua mashine 26 za kuharibu noti.

Kesi hiyo ilianza kusikilizwa mahakamani hapo Januari 30, 2012, chini ya Hakimu Ritha Tarimo, Wakili wa Serikali Fredrick Manyanda, aliyekuwa akisaidiwa na Ben Lincoln pamoja na Shadrack Kimaro.
Katika shtaka hilo, Jengo...

 

10 years ago

Habarileo

Kigogo BoT kizimbani kwa jaribio kuua polisi

MSHAURI wa masuala ya ulinzi katika Benki Kuu (BoT), Shaban Ndosi (39) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua ofisa wa Polisi.

 

10 years ago

Vijimambo

MPANGAJI WA NHC MBEYA ATUPIWA VITU NJE

Madalali wa mahakama wakitoa vitu nje kwenye moja ya  wapangaji wa shirika la nyumba la Taifa (NHC)jijini Mbeya .ambao wamekuwa wakidaiwa na shirika hilo (Picha na David Nyembe)Baadhi ya wananchi wakishangaa zoezi la utoaji wa vitu nje kwa mpangaji wa NHC ambaye amekuwa akidaiwa muda mrefu na shirika hilo.

 

11 years ago

Michuzi

Mahakama yawarusu kwenda kutibiwa nje ya nchi Mawaziri Waandamizi wa zamani,Basil Mramba na Daniel Yona

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imewaruhusu kwenda kutibiwa nje ya nchi  Mawaziri Waandamizi wa zamani,  Basil Mramba na Daniel Yona wanaokabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara ya Sh. bilioni 11.7  kwa kutoa msamaha wa kodi baada ya kusikiliza maombi yao leo.
Uamuzi huo umetolewa leo mahakamani hapo na Jaji John Utamwa baada ya washtakiwa hao kuwasilisha maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi.
Upande wa Jamhuri ulidai kuwa...

 

10 years ago

GPL

INASIKITISHA: FAMILIA YATUPIWA YATUPIWA VYOMBO NJE!

Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata
USIOMBE yakukute! Beatrice Nyato au mama Prisca, mkazi wa Kurasini, Dar, anapika, anapakua na kulala nje ya nyumba yake baada ya kutupiwa vyombo nje na mtu aliyemtaja kwa jina moja la Anwar ambaye ni mkurugenzi wa kampuni moja ya usafirishaji ya jijini Dar. Beatrice Nyato au mama Prisca, mkazi wa Kurasini, Dar, anayepika, anapakua na kulala nje ya nyumba yake. Akizungumza na Uwazi mwishoni mwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''

Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani na polisi zanaelezea jinsi Thomas Thabane alivyohusika na mauaji hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Blatter atupiwa pesa Zurich

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter ametupiwa pesa na mtu aliyevamia mkutano wake na wanahabari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani