Kigogo wa zamani BOT atupiwa vyombo nje
>Mkurugenzi wa zamani wa Fedha wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Elisa Issangya amejikuta akitupiwa vyombo vyake nje na Kampuni ya Udalali ya Mwafrika kwa kile kilichoelezwa kutakiwa kuondoka kwenye nyumba aliyokuwa akiishi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Mkurugenzi BoT atupiwa vyombo nje
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Fedha wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Elisa Issangya, ameilalamikia benki hiyo kwa kumtolea vyombo vyake nje katika nyumba aliyokuwa akiishi inayomilikiwa na benki hiyo. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR5GyZNVhvCxKOKo0fx0B2dU97-WE4b6cmAd5croAZscwvJiSjPmOeDLFZuJyHr4OkdAheINfp1IPO5ucSFXvXzg/Mfanyabiashara.gif?width=650)
MFANYABIASHARA ATUPIWA VYOMBO NJE
9 years ago
Mtanzania15 Aug
Kigogo BoT aachiwa huru
NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru aliyekuwa Naibu Mkurugenzi wa Mifumo na Huduma wa
Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Simon Jengo, aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la matumizi mabaya ya ofisi kwa kununua mashine 26 za kuharibu noti.
Kesi hiyo ilianza kusikilizwa mahakamani hapo Januari 30, 2012, chini ya Hakimu Ritha Tarimo, Wakili wa Serikali Fredrick Manyanda, aliyekuwa akisaidiwa na Ben Lincoln pamoja na Shadrack Kimaro.
Katika shtaka hilo, Jengo...
10 years ago
Habarileo27 Jan
Kigogo BoT kizimbani kwa jaribio kuua polisi
MSHAURI wa masuala ya ulinzi katika Benki Kuu (BoT), Shaban Ndosi (39) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua ofisa wa Polisi.
10 years ago
VijimamboMPANGAJI WA NHC MBEYA ATUPIWA VITU NJE
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s72-c/1+(1).jpg)
Mahakama yawarusu kwenda kutibiwa nje ya nchi Mawaziri Waandamizi wa zamani,Basil Mramba na Daniel Yona
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s1600/1+(1).jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo mahakamani hapo na Jaji John Utamwa baada ya washtakiwa hao kuwasilisha maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi.
Upande wa Jamhuri ulidai kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmNff4ohdnoRT3iY9vQlTOJuC*igAm0-klXa24ciOJoXAn0z9ld65HM5qUSAFAO*sqfsc4oEfzUJaDWTooHbkU4-/BACKUWAZI3.jpg?width=650)
INASIKITISHA: FAMILIA YATUPIWA YATUPIWA VYOMBO NJE!
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Blatter atupiwa pesa Zurich