Blatter atupiwa pesa Zurich
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter ametupiwa pesa na mtu aliyevamia mkutano wake na wanahabari.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.
Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.
Licha ya kuwafungia miaka...
5 years ago
Michuzi
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
10 years ago
GPL
WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA
10 years ago
Michuzi.jpg)
Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom
10 years ago
Bongo509 Mar
Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Maafisa wa Fifa wakamatwa Zurich
10 years ago
BBCSwahili27 May
Rushwa:Maafisa wa Soka wakamatwa Zurich
10 years ago
TheCitizen06 Aug
Govt probes ivory seized in Zurich
10 years ago
BBC
Zurich start legal action for tackle