MFANYABIASHARA ATUPIWA VYOMBO NJE
![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR5GyZNVhvCxKOKo0fx0B2dU97-WE4b6cmAd5croAZscwvJiSjPmOeDLFZuJyHr4OkdAheINfp1IPO5ucSFXvXzg/Mfanyabiashara.gif?width=650)
Na Haruni Sanchawa Mfanyabiashara mmoja jijini Dar es Salaam, Mwita Chacha alivunjiwa geti kisha kutupiwa vyombo vyake nje baada ya kuvamiwa hivi karibuni na watu waliodaiwa kuwa ni kutoka saccos moja ya jijini Dar. Akizungumza na gazeti hili, Chacha alidai kuwa tukio hilo lilitokea katika maeneo ya Pugu Kwalala, Kata ya Pugu, Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam wakati akiwa mbali na nyumbani kwake. Soma zaidi hapa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Mkurugenzi BoT atupiwa vyombo nje
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Fedha wa Benki Kuu Tanzania (BoT), Elisa Issangya, ameilalamikia benki hiyo kwa kumtolea vyombo vyake nje katika nyumba aliyokuwa akiishi inayomilikiwa na benki hiyo. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Kigogo wa zamani BOT atupiwa vyombo nje
10 years ago
VijimamboMPANGAJI WA NHC MBEYA ATUPIWA VITU NJE
9 years ago
Bongo522 Sep
Nje ya muziki mimi ni mfanyabiashara — Dogo Janja
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmNff4ohdnoRT3iY9vQlTOJuC*igAm0-klXa24ciOJoXAn0z9ld65HM5qUSAFAO*sqfsc4oEfzUJaDWTooHbkU4-/BACKUWAZI3.jpg?width=650)
INASIKITISHA: FAMILIA YATUPIWA YATUPIWA VYOMBO NJE!
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Mourinho atupiwa virago Chelsea
LONDON England
CHELSEA hatimaye imefikia uamuzi mgumu kabisa wa kumtimua kocha wao kipenzi, Jose Mourinho ikiwa ni miezi saba tu tangu kocha huyo aimbiwe wimbo wa kishujaa baada ya kuiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa England.
Uamuzi wa Bodi ya Chelsea umetangazwa jana jioni na umeelezwa kuchangiwa na matokeo mabaya ya timu hiyo katika Ligi Kuu ya England (EPL) msimu huu, ambapo timu hiyo inashika nafasi ya 16 ikiwa na pointi 15 kutokana na michezo 16 iliyocheza.
Kufungwa na vinara wa ligi...
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Blatter atupiwa pesa Zurich
10 years ago
Vijimambo23 Feb
DIAMOND ATUPIWA JINI, LAMPATA MAMA'KE
![](http://api.ning.com/files/QxYZWE5p2qtuFIruOuW-kg97x7vBVsmv7LDrjjNIgZRW7HqRrlng46M4T4yBzQnPfGTkUw38Qs5*gQF*-vSWE*s5Hunp4BGc/diamondd.jpg)
![](http://api.ning.com/files/QxYZWE5p2qsldan-roIB4gZhdHektNqrkkOfn7wBsCj*b0YcTJEoi5WTYoSFH-EWgMrcbyzEeH-z*HcHhamZdYxF7RcY8J14/mamanadiamond.jpg?width=650)
TUJIUNGE NA CHANZOKwa mujibu wa chanzo makini, watu wanaodaiwa kuwa ni wabaya wa Diamond (Anti-Diamond) walimtupia jini staa...
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Maximo rasmi atupiwa virago yanga