Maximo rasmi atupiwa virago yanga
Klabu ya Yanga imewatupia virago rasmi makocha wabrazil Marcio Maximo na msaidizi wake, Leonardo Neiva kwa matokeo mabavu ya klabu hio
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Mourinho atupiwa virago Chelsea
LONDON England
CHELSEA hatimaye imefikia uamuzi mgumu kabisa wa kumtimua kocha wao kipenzi, Jose Mourinho ikiwa ni miezi saba tu tangu kocha huyo aimbiwe wimbo wa kishujaa baada ya kuiwezesha timu hiyo kutwaa ubingwa wa England.
Uamuzi wa Bodi ya Chelsea umetangazwa jana jioni na umeelezwa kuchangiwa na matokeo mabaya ya timu hiyo katika Ligi Kuu ya England (EPL) msimu huu, ambapo timu hiyo inashika nafasi ya 16 ikiwa na pointi 15 kutokana na michezo 16 iliyocheza.
Kufungwa na vinara wa ligi...
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Garry Monk atupiwa virago Swansea City
10 years ago
CloudsFM16 Dec
Yanga SC yamtimua rasmi Maximo.
Maximo anaondolewa katika kikosi hicho akiwa ameshiriki katika mechi tisa tu za...
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Yanga yamtupia virago Kaseja
11 years ago
TheCitizen14 Jul
Maximo says Yanga are going places
10 years ago
Mtanzania19 Dec
Maximo: Nawaangalia tu Yanga
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM,
IKIWA ni siku tano sasa zimepita tangu Yanga kutangaza kuachana na Kocha Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo amesema anawaangalia na kuwasikiliza viongozi wa timu hiyo ambao hadi sasa hawajampa barua ya kuvunja mkataba wake.
Kwa sasa, Maximo yupo katika hali ya sintofahamu kutokana na wiki nzima hii magazeti mbalimbali kuripoti juu ya klabu ya Yanga kumtema bila kumpa barua yoyote mpaka sasa.
Kocha huyo aliyejizolea sifa wakati akiwa na Timu ya Taifa ya...
11 years ago
TheCitizen01 Jul
Yanga will be like TP Mazembe, says Maximo
11 years ago
GPL
MAXIMO ACHOTA SH 371M YANGA
10 years ago
TheCitizen17 Dec
SOCCER: Pluijm in, Maximo out at Yanga