Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maximo: Nawaangalia tu Yanga

???????????????????????????????

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM,
IKIWA ni siku tano sasa zimepita tangu Yanga kutangaza kuachana na Kocha Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo amesema anawaangalia na kuwasikiliza viongozi wa timu hiyo ambao hadi sasa hawajampa barua ya kuvunja mkataba wake.
Kwa sasa, Maximo yupo katika hali ya sintofahamu kutokana na wiki nzima hii magazeti mbalimbali kuripoti juu ya klabu ya Yanga kumtema bila kumpa barua yoyote mpaka sasa.
Kocha huyo aliyejizolea sifa wakati akiwa na Timu ya Taifa ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Yanga will be like TP Mazembe, says Maximo

Former National soccer team, Taifa Stars head coach, Marcio Maximo, has said his task ahead is to make Young Africans Sports Club a strong side like TP Mazembe of the Democratic Republic of Congo (DRC).

 

11 years ago

TheCitizen

Maximo says Yanga are going places

He might have stayed with the team for two weeks only, but Young Africans head coach Marcio Maximo, is optimistic that the Jangwani Street outfit is going places.

 

10 years ago

Mtanzania

Maximo basi tena Yanga

Kocha-wa-Timu-ya-Club-ya-Yanga-Maxio-MaximoNA MWANDISHI WETU, DAR ES SAALAM,

UONGOZI wa klabu ya Yanga umeamua kukatisha mkataba wake na kocha wa timu hiyo, Mbrazil Marcio Maximo kuanzia sasa ukiwa ni uamuzi ulioafikiwa katika kikao kilichofanyika juzi Hoteli ya Protea, jijini Dar es Salaam.
Kikao hicho kimekaa siku moja baada ya timu hiyo kuchapwa bao 2-0 na watani wao wa jadi, Simba katika mchezo wa Nani Mtani Jembe uliofanyika mwishoni mwa wiki Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Maximo anaondolewa katika kikosi hicho akiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Maximo awaomba radhi Yanga

Kocha Mkuu wa Yanga,Mbrazil Marcio MaximoKocha Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo ameawaomba radhi wanachama na mashabiki wa Yanga baada ya timu yake kuanza vibaya msimu huu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL).

Kikianza na wachezaji wanne wa kimataifa, Wanyaruanda Haruna Nyinzoma na Mbuyu Twite, Mganda Hamis Kizza na Mbrazil Genilson Santos Santana ‘Jaja’, Kikosi cha Yanga kilijikuta kikikubali kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya timu isiyo na mchezaji hata mmoja wa kimataifa, Mtibwa...

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Pluijm in, Maximo out at Yanga

>Former Young Africans head coach Johannes Franciscus, well known in Dar soccer circles  as ‘Hans’ Van der Pluijm has arrived in the country to discuss a deal with the Jangwani club.

 

10 years ago

GPL

Maximo amtaja Boban Yanga SC

Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi
JINA la kiungo mchezeshaji wa zamani wa Simba, Haruna Moshi ‘Boban’ limetajwa kwenye usajili wa dirisha dogo na Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo. Usajili huo wa dirisha dogo unatarajiwa kufunguliwa Novemba 15, mwaka huu na kufungwa Desemba 15.
Maximo, hivi karibuni alitangaza kuongeza viungo wawili pekee katika usajili huo katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Maximo awaadabisha wavivu Yanga

Kocha wa Yanga, Mbrazili Marcio Maximo amewaadabisha wachezaji wavivu kwa kuwapa adhabu ya kukimbia kuzunguka uwanja kwa saa nzima.

 

10 years ago

Mtanzania

Siku 47 za Maximo Yanga SC usipime

Marcio Maximo

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

KAMA kuna kitu kikubwa kwa kocha yeyote duniani, ni kufikia malengo aliyojiwekea.

Malengo hayo yana njia zake na hiyo hutokana na falsafa za kocha husika kwa kile anachokiamini.

Juni 29, mwaka huu, Yanga ilimrejesha kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Mbrazil Marcio Maximo, kama kocha wao mkuu pamoja na Mbrazil mwingine, Leonardo Neiva, ambaye ni msaidizi wake.

Julai 1 mwaka huu, Maximo alianza kibarua...

 

11 years ago

GPL

Maximo atangaza vikosi 2 Yanga

Na Mwandishi Wetu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo, anaendelea kuiandaa timu yake kwa ajili ya msimu mpya, lakini ameamua kutengeneza vikosi viwili. Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo, Ingawa amekuwa akifanya siri, katika mazoezi ya Yanga, Maximo ameamua kutengeneza vikosi viwili ambavyo vitaifanya Yanga kuwa na uhakika kwa msimu mzima. “Kocha amefanya uchunguzi wa kila kitu ikiwa ni pamoja na kuangalia wachezaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani