Siku 47 za Maximo Yanga SC usipime
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KAMA kuna kitu kikubwa kwa kocha yeyote duniani, ni kufikia malengo aliyojiwekea.
Malengo hayo yana njia zake na hiyo hutokana na falsafa za kocha husika kwa kile anachokiamini.
Juni 29, mwaka huu, Yanga ilimrejesha kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Mbrazil Marcio Maximo, kama kocha wao mkuu pamoja na Mbrazil mwingine, Leonardo Neiva, ambaye ni msaidizi wake.
Julai 1 mwaka huu, Maximo alianza kibarua...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Oct
Yanga, Azam, Simba usipime
11 years ago
Mwananchi15 Oct
Ivo ajifua Sauzi, ulinzi wa Yanga usipime
11 years ago
TheCitizen14 Jul
Maximo says Yanga are going places
10 years ago
Mtanzania19 Dec
Maximo: Nawaangalia tu Yanga
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM,
IKIWA ni siku tano sasa zimepita tangu Yanga kutangaza kuachana na Kocha Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo amesema anawaangalia na kuwasikiliza viongozi wa timu hiyo ambao hadi sasa hawajampa barua ya kuvunja mkataba wake.
Kwa sasa, Maximo yupo katika hali ya sintofahamu kutokana na wiki nzima hii magazeti mbalimbali kuripoti juu ya klabu ya Yanga kumtema bila kumpa barua yoyote mpaka sasa.
Kocha huyo aliyejizolea sifa wakati akiwa na Timu ya Taifa ya...
11 years ago
TheCitizen01 Jul
Yanga will be like TP Mazembe, says Maximo
11 years ago
GPL
MAXIMO KUONGEA KILA SIKU YA IJUMAA
10 years ago
CloudsFM16 Dec
Yanga SC yamtimua rasmi Maximo.
Maximo anaondolewa katika kikosi hicho akiwa ameshiriki katika mechi tisa tu za...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Yanga, Maximo wafikia patamu
KOCHA mpya wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, anatarajiwa kusaini mkataba mwishoni mwa wiki kwa ajili ya kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Twiga na Jangwani jijini...
11 years ago
Mwananchi27 Jun
KARIBU YANGA: Maximo kuunguruma