KARIBU YANGA: Maximo kuunguruma
>Kocha mpya wa Yanga, Mbrazili Marcio Maximo amewasili nchini jana na leo ataanika mikakati yake ya kuimarisha timu hiyo katika mkutano wa kwanza na vyombo vya habari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLKARIBU MUSIC FESTIVAL KUUNGURUMA BAGAMOYO MWEZI UJAO
11 years ago
TheCitizen01 Jul
Yanga will be like TP Mazembe, says Maximo
11 years ago
TheCitizen14 Jul
Maximo says Yanga are going places
10 years ago
Mtanzania19 Dec
Maximo: Nawaangalia tu Yanga
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM,
IKIWA ni siku tano sasa zimepita tangu Yanga kutangaza kuachana na Kocha Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo amesema anawaangalia na kuwasikiliza viongozi wa timu hiyo ambao hadi sasa hawajampa barua ya kuvunja mkataba wake.
Kwa sasa, Maximo yupo katika hali ya sintofahamu kutokana na wiki nzima hii magazeti mbalimbali kuripoti juu ya klabu ya Yanga kumtema bila kumpa barua yoyote mpaka sasa.
Kocha huyo aliyejizolea sifa wakati akiwa na Timu ya Taifa ya...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Maximo awatisha wachezaji Yanga
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amesema hana nafasi kwa nyota wenye majina makubwa wasiojituma na kusema ni heri abaki na wachache wenye kujituma na kutambua wajibu...
10 years ago
CloudsFM16 Dec
Yanga SC yamtimua rasmi Maximo.
Maximo anaondolewa katika kikosi hicho akiwa ameshiriki katika mechi tisa tu za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6bKGt3yZ0C9BFsTciWMv*eizMHfqQZ*KHInUyjXJ2VlN5tt4BXqPsavplTWHvbLIpWL7G6URVPu0xtYmUGNFAi/1.jpg)
Maximo atangaza vikosi 2 Yanga
10 years ago
Vijimambo23 Sep
Maximo awaomba radhi Yanga
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Maximo--September22-2014(1).jpg)
Kikianza na wachezaji wanne wa kimataifa, Wanyaruanda Haruna Nyinzoma na Mbuyu Twite, Mganda Hamis Kizza na Mbrazil Genilson Santos Santana ‘Jaja’, Kikosi cha Yanga kilijikuta kikikubali kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya timu isiyo na mchezaji hata mmoja wa kimataifa, Mtibwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5vBx3EI3-TGuACKeOvsYpeaLp78LUG2WoHOSqEnmfEkh2NkgnQswYI6HQGNutsPoez3VwKjpI5NcNnr0SQayROBU5WrZWUsJ/1.jpg)
Yanga SC yamkataa msaidizi wa Maximo