Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KARIBU YANGA: Maximo kuunguruma

>Kocha mpya  wa Yanga, Mbrazili Marcio Maximo amewasili nchini jana na leo ataanika mikakati yake ya kuimarisha timu hiyo katika mkutano wa kwanza na vyombo vya habari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

KARIBU MUSIC FESTIVAL KUUNGURUMA BAGAMOYO MWEZI UJAO

Ofisa Mauzo wa Kampuni ya K.I.CO na mratibu wa tamasha hilo, Ernest Biseko (katikati) akiongea na waandishi wa habari. Kutoka kushoto ni, Msanii wa Raggae atakayetumbuiza siku hiyo, Jhikolabwino Manyika, mratibu wa tamasha hilo, Ernest Biseko, Meneja Uvumbuzi wa Serengeti Breweries Ltd, Attu Mynal (wapili kulia). …

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga will be like TP Mazembe, says Maximo

Former National soccer team, Taifa Stars head coach, Marcio Maximo, has said his task ahead is to make Young Africans Sports Club a strong side like TP Mazembe of the Democratic Republic of Congo (DRC).

 

11 years ago

TheCitizen

Maximo says Yanga are going places

He might have stayed with the team for two weeks only, but Young Africans head coach Marcio Maximo, is optimistic that the Jangwani Street outfit is going places.

 

10 years ago

Mtanzania

Maximo: Nawaangalia tu Yanga

???????????????????????????????

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM,
IKIWA ni siku tano sasa zimepita tangu Yanga kutangaza kuachana na Kocha Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo amesema anawaangalia na kuwasikiliza viongozi wa timu hiyo ambao hadi sasa hawajampa barua ya kuvunja mkataba wake.
Kwa sasa, Maximo yupo katika hali ya sintofahamu kutokana na wiki nzima hii magazeti mbalimbali kuripoti juu ya klabu ya Yanga kumtema bila kumpa barua yoyote mpaka sasa.
Kocha huyo aliyejizolea sifa wakati akiwa na Timu ya Taifa ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maximo awatisha wachezaji Yanga

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amesema hana nafasi kwa nyota wenye majina makubwa wasiojituma na kusema ni heri abaki na wachache wenye kujituma na kutambua wajibu...

 

10 years ago

CloudsFM

Yanga SC yamtimua rasmi Maximo.

UONGOZI wa klabu ya Yanga umeamua kukatisha mkataba wake na kocha wa timu hiyo, Mbrazil Marcio Maximo kuanzia sasa ukiwa ni uamuzi ulioafikiwa katika kikao kilichofanyika juzi Hoteli ya Protea, jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kimekaa siku moja baada ya timu hiyo kuchapwa bao 2-0 na watani wao wa jadi, Simba katika mchezo wa Nani Mtani Jembe uliofanyika mwishoni mwa wiki Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Maximo anaondolewa katika kikosi hicho akiwa ameshiriki katika mechi tisa tu za...

 

11 years ago

GPL

Maximo atangaza vikosi 2 Yanga

Na Mwandishi Wetu
KOCHA Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo, anaendelea kuiandaa timu yake kwa ajili ya msimu mpya, lakini ameamua kutengeneza vikosi viwili. Kocha Mkuu wa Yanga, Marcio Maximo, Ingawa amekuwa akifanya siri, katika mazoezi ya Yanga, Maximo ameamua kutengeneza vikosi viwili ambavyo vitaifanya Yanga kuwa na uhakika kwa msimu mzima. “Kocha amefanya uchunguzi wa kila kitu ikiwa ni pamoja na kuangalia wachezaji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Maximo awaomba radhi Yanga

Kocha Mkuu wa Yanga,Mbrazil Marcio MaximoKocha Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo ameawaomba radhi wanachama na mashabiki wa Yanga baada ya timu yake kuanza vibaya msimu huu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL).

Kikianza na wachezaji wanne wa kimataifa, Wanyaruanda Haruna Nyinzoma na Mbuyu Twite, Mganda Hamis Kizza na Mbrazil Genilson Santos Santana ‘Jaja’, Kikosi cha Yanga kilijikuta kikikubali kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya timu isiyo na mchezaji hata mmoja wa kimataifa, Mtibwa...

 

11 years ago

GPL

Yanga SC yamkataa msaidizi wa Maximo

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji. Wilbert Molandi na Nicodemus Jonas
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, umekataa mapendekezo ya kocha mkuu wa timu hiyo, Marcio Maximo juu ya msaidizi wake ambaye anahisi anaweza kuelewana naye kwa kuwa wamewahi kufanya kazi pamoja. Habari za uhakika ambazo zimefika mezani kwenye gazeti hili, zinaeleza kuwa, Maximo alipendekeza uongozi wa klabu hiyo umpe ajira Kocha wa KMKM ya Zanzibar, Ali Bushiri,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani