Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KARIBU MUSIC FESTIVAL KUUNGURUMA BAGAMOYO MWEZI UJAO

Ofisa Mauzo wa Kampuni ya K.I.CO na mratibu wa tamasha hilo, Ernest Biseko (katikati) akiongea na waandishi wa habari. Kutoka kushoto ni, Msanii wa Raggae atakayetumbuiza siku hiyo, Jhikolabwino Manyika, mratibu wa tamasha hilo, Ernest Biseko, Meneja Uvumbuzi wa Serengeti Breweries Ltd, Attu Mynal (wapili kulia). …

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

This Weekend "Karibu Music Festival, Bagamoyo 2015"

 The long wait is almost over, The Karibu Music Festival 2015, is taking off this weekend (Friday 6th Nov. To Sunday 8th November) Three days of extreme Music, Arts, and Cultural experience.
Headlining one of Africa's most popular musician and prominent in world music, PAPA WEMBA, and a variety of International Musicians from KENYA, UGANDA, TOGO and SOUTH AFRICA  to NORWAY, PAKISTAN and JAMAICA. 
With the a variety of Tanzanian Musicians, More than 20 Groups from Tanzania, ranging from...

 

10 years ago

Michuzi

TAMASHA KUBWA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL KUFANYIKA BAGAMOYO

 Meneja wa tamasha la Karibu Music Festival, Richard Lupia akizungumza katika mkutano na waandishi wa Habari Dar es Salaam hii leo juu ya maandalizi ya tamasha hilo. Kushoto ni Mratibu wa Tamsha, Issam Ramadhan na Kulia ni Afisa Habari wa Karibu Music Festival, Said Hashim.Meneja wa tamasha la Karibu Music Festival, Richard Lupia akifafanua jambo katika mkutano na waandishi wa Habari Dar es Salaam hii leo juu ya maandalizi ya tamasha hilo. Kushoto ni Mratibu wa Tamsha, Issam Ramadhan
BOFYA...

 

9 years ago

Michuzi

Tickets Prices for Karibu Music Festival, Bagamoyo 2015

Tickets for the Karibu Music festival 2015 are on sale, Get your early ticket and save money.Tickets can be bought online through: http://www.kaymu.co.tz/seller/karibu-music-festival/ and http://timetickets.net/e/details/37 
Also physically at the following places:
1. Robby One Fashion (Sinza and Kinondoni)2. Born To Shine (Mwenge)3. Big Daddy Store (Biafra)4. Rose Garden (Kijitonyama)5. Didis (Oysterbay)Dont miss the chance to experience one of the best Music, Arts and Cultural event in...

 

9 years ago

Mwananchi

Tamasha la Karibu Music Festival kukutanisha wanamuziki Bagamoyo

Wadau wa muziki nchini, Afrika Mashariki na dunia nzima kwa ujumla watapata fursa kujumuika pamoja na kubadilishana uzoefu wa kazi zao katika tamasha la pili la muziki maarufu kama ‘Karibu Music Festival’ litakalofanyika mapema mwezi ujao huko Bagamoyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

KARIBU MUSIC FESTIVAL, 6th -8th November 2015, Bagamoyo, TANZANIA

11227386_306352316155699_3150870760361152583_n

1. FESTIVAL INFO:
KARIBU MUSIC FESTIVAL, 6th -8th November 2015, Bagamoyo, TANZANIA

2. FESTIVAL SUMMARY:
Karibu Music Festival is an annual Three-days INTERNATIONAL music festival created by Karibu Cultural Promotions Organization (NGO) and Legendary Music Entertainment and Promotion Company Ltd. in Tanzania main land. It will be held at Bagamoyo, on 500 acres grounds alongside the beach at the College of Arts and Culture (TASUBA). The main attraction of the festival is the mixture of Music,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tamasha la Karibu International Music Festival kufanyika novemba, 2015 mjini Bagamoyo

Mratibu wa Tamasha la Karibu International Music Festival, Richard Lupia (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam, kuhusu tamasha la pili litakalofanyika mwezi Novemba mwaka huu katika viwanja vya Mwanakalenge Bagamoyo. Tamasha hilo limeandaliwa na Taasisi ya Karibu Cultural Promotion na kuratibiwa na Kampuni ya Legendary Music Entertainment. Kulia ni Ofisa Habari wa Kampuni ya Karibu International Music Festival, Said Hashim.

Wanahabari wakichukua...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADHI YA WASANII NA VIKUNDI VITAKAVYOSHIRIKI KWENYE TAMASHA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL, BAGAMOYO TANZANIA.


PANDA 1/2 (JAPAN)MARIA KATE (FRANCE)IFE PIANKHI (UGANDA)MASAYO (JAPAN)FANTUZZI (USA)SHIWE MUSIQUE (COMORO)DEMBEDE (KENYA)MBIYE EBRIMA (GUINEA)JHIKOMAN & Afrikabisa Band(TANZANIA)WAHAPAHAPA BAND(TANZANIA)SEGERE ORIGINAL (TANZANIA)BARNABA (TANZANIA)VITALIS MAEMBE (TANZANIA)THE SPIRIT BAND (TANZANIA)MAMA AFRICA (TANZANIA)CHIBITE ZAWOSE FAMILY (TANZANIA)AFRIKWETU (TANZANIA)TONGWA ENSEMBLE (TANZANIA)LEO MKANYIA (TANZANIA)COCODO BAND(TANZANIA)HOKORORO BAND (TANZANIA)LUMUMBA THEATER(TANZANIA)MSWANU...

 

9 years ago

Dewji Blog

Papa Wemba awasili Dar, aelekea Bagamoyo kwenye Tamasha la Karibu Music Festival 2015

Mwanamuziki Papa Wemba (kulia) akisalimiana na mwenyeji wake waandaaji wa Tamasha la Karibu Music Festival 2015 mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja wake anayeratibu safari hiyo, Chebli Msaidie akimtambulisha kwa wenyeji wao. Mwanamuziki Papa Wemba akiwa katika picha ya pamoja na wasanii alioambatana nao waliomo katika bandi yake mara baada ya kutua Tanzania tayari kufanya mashambulizi katika Tamasha la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani